kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,489
- 18,366
Mmoja wao hapo lazima afungweUnamaana ya kwamba ghana atamfunga england na Croatia?
Mmoja wao hapo lazima afungweUnamaana ya kwamba ghana atamfunga england na Croatia?
Hawezi kumfunga muingereza labda ajitahidi kwa croatia 🇭🇷 game ya kwanza alipowahi kukutana na england ghana iliweza kuondoka na point moja pekee na kumbuka ile ndo ilikua ghana sasa sio ya sasaMmoja wao hapo lazima afungwe
Unajua watu hatujaiona sana Ghana ndio maana tunapoteza nao imani.Hawezi kumfunga muingereza labda ajitahidi kwa croatia 🇭🇷 game ya kwanza alipowahi kukutana na england ghana iliweza kuondoka na point moja pekee na kumbuka ile ndo ilikua ghana sasa sio ya sasa
Unamtazama na Jordan sema na ndugu yetu Congo ana hali ngumu labda ajitahidi kwa uzbekistan lakini bado shuguli ni pevuHaiti pia.
DR Congo ana maingizo mapya mazuri...Unamtazama na Jordan sema na ndugu yetu Congo ana hali ngumu labda ajitahidi kwa uzbekistan lakini bado shuguli ni pevu
Narudia tena ili ni kombe la dunia kuna watu wanataka mbali na kuchukua kombe basi ata mfungaji bora ila uhalisia Congo akijikita kufunguka mbele ya Colombia anakula nyingi kwa meno ndo asijaribu kabisa mpe nafasi ya best looserDR Congo ana maingizo mapya mazuri...
Anakikosi bora kuliko Colombia na hao Uzbekistan.
Wissa Alikuwa na msimu mzuri sana pale New Castle, Bakambu pia akiwa kwenye form atafanya kitu.
Mwanetu Wan-Bissaka atasimamia Ulinzi....
Wanaye pia Noah Sadiki alipata sana nafasi na Sunderland ni Middle ya ball.
Wakimpa Mayele nafasi lazima atupie walau kimoja.
dont dare to lower DRCUnamtazama na Jordan sema na ndugu yetu Congo ana hali ngumu labda ajitahidi kwa uzbekistan lakini bado shuguli ni pevu
Haya tutawaona tuNarudia tena ili ni kombe la dunia kuna watu wanataka mbali na kuchukua kombe basi ata mfungaji bora ila uhalisia Congo akijikita kufunguka mbele ya Colombia anakula nyingi kwa meno ndo asijaribu kabisa mpe nafasi ya best looser
Sawa acha muda uzungumze ila ureno ataweka nguvu sana katika game yake dhidi ya DRC pamoja na uzbekistandont dare to lower DRC
Sasa weka hii kwenye kumbukumbu zako, game yake ya kwanza na Ureno tarehe 17 Juni hatafungwa.Narudia tena ili ni kombe la dunia kuna watu wanataka mbali na kuchukua kombe basi ata mfungaji bora ila uhalisia Congo akijikita kufunguka mbele ya Colombia anakula nyingi kwa meno ndo asijaribu kabisa mpe nafasi ya best looser
Matokeo yatakua vp mkuuSasa weka hii kwenye kumbukumbu zako, game yake ya kwanza na Ureno tarehe 17 Juni hatafungwa.
Naelewa lakini hatamfunga.Sawa acha muda uzungumze ila ureno ataweka nguvu sana katika game yake dhidi ya DRC pamoja na uzbekistan
wanatoa sareMatokeo yatakua vp mkuu
Kwamba ureno adroo na DRC alafu apambane na Colombia 🇨🇴Naelewa lakini hatamfunga.
Kwanini sasa Congo asimfunge ureno hujiulizi ilowanatoa sare