Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 26,530
- 61,938
Dakika 8 za nyongeza
Imekuingia ukiwa wapi?Matraaakooo french
Wajirekebishe aiseeWatampiga Norway na Iraq?
Hili kundi ngumu sana
Hivi ndo analo kombe eeh Argentina?Baadae tuwe macho, saa 10 alfajiri Dunia inaenda kumtazama GOAT akiiongoza Argentina kutetea taji lake dhidi ya Algeria
Technically hata mtoto aliyezalia juzi hawezi kubishaMpira unadunda usijimalize
Iraq wanampiga. Hata kwenye wale nane wa nafasi ya tatu wasiwepo!?Watampiga Norway na Iraq?
Hili kundi ngumu sana
Ngoja nilale8 minutes added time
HatoboiYes.
Ila hataweza kulilinda kabisa
ChumaaaaWote tunaipenda Senegal na tuliishangilia kwa pamoja kwenye Afcon.
Lakini lazima tukubali kuwa ukweli hautegemeani na mahaba yetu yanavyotupelekesha.
Ni timu nzuri ila kosa kubwa ni kukutana na France.
Na hii ni warm up tu, vipigo vizito viko huko mbeleni.
Sasa mwenye bahati mbaya ajichanganye.
Wapo kina Iraw na wale wa Asia so huko ndio mahesabu yao ya kupata point yangejikitaAnywhere else?? Muhuni huyu