Wasomba
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 558
- 813
Mimi pia sitopiga kuraKama mungu yupo na majeshi yapo basi aliepushe hili. Bili Tundu Lissu mie sitapiga kura wala kusimamia uchaguzi
Mimi pia sitopiga kuraKama mungu yupo na majeshi yapo basi aliepushe hili. Bili Tundu Lissu mie sitapiga kura wala kusimamia uchaguzi
Rungwe atagawiwa kura chache kuhalalisha uchaguzikama hali hii ya kina lissu kutoshiriki uchaguzi mkuu, samia atapata ushindi wa mserereko kwa kura za wanachama wa chama chake tu. Kina rungwe na dovutwa kama kawaida yao watasindikiza na kuishia kuangukia pua, labda safari hii waonewe huruma waachiwe wabunge na madiwani wawili watatu au hata mmoja nao wajione wamo kwenye demokrasia. Kuna lile genge la chadema la G55 wanataka kugombea, Lissu yuko ndani, inawezekana genge hilo likagombea na kupata ubunge wakatinga bungeni na kuonekana mambo yalikuwa sawa uchaguzini mpaka wapinzani (wa mchongo) wameshinda. Utakuwa ni uchaguzi wa aina yake usiokuwa na mvuto wala hamasa ya kweli. kampeni zitapooza sana. Wanachi wamekata tamaa kushiriki chaguzi za abrakadabra
Ni Chief Lutalosa Yemba.Nilikuwa nalitafuta hili Jina😅😅😅
Chief Lutalemwa Yemba.
Kwa Sauti ya Jaji Nani vile?
Asante sana hiyo Lutalosa nilikuwa naitafuta......Aliywtangaza matokeo alikuwa Jaji Lubuva😅😅Ni Chief Lutalosa Yemba.
Yule jaji kipenyo ni Semistocles Kaijage.
Kura yako inasaidia nini, utampigia akiwa gerezaniKama Mungu yupo na majeshi yapo basi aliepushe hili. Bila Tundu Lissu mie sitapiga kura wala kusimamia uchaguzi
We ulitaka kampeni za matusi, uropokaji, uzushi, upotoshaji, uwongo, ujenzi wa chuki?Itakuwa ni mchuono na kampeni za vituko vya siasa tu na kuishia kwenye uchaguzi wa vioja. Tuseme kamapeni zitakuwa ni full burudani za wasanii wa kila aina ya muziki, waimba injili, bongo fleva, singeli, kwaya, hip hop, dansi, taarabu, bongo muvi, komedi na wapuuzi wengine wengi wenye haiba za kichawa. Mzee wa ubwabwa atakuwa anachekesha wananchi na sahani zake za ubwabwa, dovutwa kama kawaida yake atasindikiza na kuishia kuangukia pua. Uchaguzi wa mwaka huu kwa kweli utakuwa wa ajabu kuwahi kutokea tangu uhuru. Wameambiwa wauhairishe ili reform ifanyike lakini wanashupaza shingo. Tutaona vituko zaidi, muda ufike haraka tushuhudie abrakadabra za uchaguzi huo
Hakuna anayetaka kusikiliza upuuzi wa huyo Nyaturu jinga. Tunataka kampeni zinazotoa faraja na matumaini kwa watanzania.We ulitaka kampeni za matusi, uropokaji, uzushi, upotoshaji, uwongo, ujenzi wa chuki?
Mimi sitapiga kura na nitauvuruga uchaguzi.Kama Mungu yupo na majeshi yapo basi aliepushe hili. Bila Tundu Lissu mie sitapiga kura wala kusimamia uchaguzi
sasa mbona povu?We ulitaka kampeni za matusi, uropokaji, uzushi, upotoshaji, uwongo, ujenzi wa chuki?
Nani apige kuraMimi sitapiga kura na nitauvuruga uchaguzi.
Wasiotaka kupiga kura waachwe wasilazimishwe wengine tutaenda kupiga kuraWatanzania jiandae Kwa kampeni za kufa mtu, kampeini za kiushindani.
Mchuano utakuwa mkubwa haijapata kutokea kati ya Samia na kina Dovutwa na mzee Rungwe.
Unaambiwa upinzani kwenye nafasi ya uraisi ni mkali mno haijawai kutokea
Wallah nimefurahi sana.Mzee Rungwe atatuletea ubwabwa. Kitoweo/mboga itakuwa alizeti za kukaangwa.Watanzania jiandae Kwa kampeni za kufa mtu, kampeini za kiushindani.
Mchuano utakuwa mkubwa haijapata kutokea kati ya Samia na kina Dovutwa na mzee Rungwe.
Unaambiwa upinzani kwenye nafasi ya uraisi ni mkali mno haijawai kutokea
Kama anateleza vile 🔥🔥Watanzania jiandae Kwa kampeni za kufa mtu, kampeini za kiushindani.
Mchuano utakuwa mkubwa haijapata kutokea kati ya Samia na kina Dovutwa na mzee Rungwe.
Unaambiwa upinzani kwenye nafasi ya uraisi ni mkali mno haijawai kutokea
We mwenye akili mbovu tuambie hasarakama hali hii ya kina lissu kutoshiriki uchaguzi mkuu, samia atapata ushindi wa mserereko kwa kura za wanachama wa chama chake tu. Kina rungwe na dovutwa kama kawaida yao watasindikiza na kuishia kuangukia pua, labda safari hii waonewe huruma waachiwe wabunge na madiwani wawili watatu au hata mmoja nao wajione wamo kwenye demokrasia. Kuna lile genge la chadema la G55 wanataka kugombea, Lissu yuko ndani, inawezekana genge hilo likagombea na kupata ubunge wakatinga bungeni na kuonekana mambo yalikuwa sawa uchaguzini mpaka wapinzani (wa mchongo) wameshinda. Utakuwa ni uchaguzi wa aina yake usiokuwa na mvuto wala hamasa ya kweli. kampeni zitapooza sana. Wanachi wamekata tamaa kushiriki chaguzi za abrakadabra
Ile Naisikiaaa ile sauti naisikiaaaa Sauti ya Lubuva.Nilikuwa nalitafuta hili Jina😅😅😅
Chief Lutalemwa Yemba.
Kwa Sauti ya Jaji Nani vile?