Umemsahau Chief Yemba kutoka ADC atawapa upinzani sana kina Samia.Watanzania jiandae Kwa kampeni za kufa mtu, kampeini za kiushindani.
Mchuano utakuwa mkubwa haijapata kutokea kati ya Samia na kina Dovutwa na mzee Rungwe.
Unaambiwa upinzani kwenye nafasi ya uraisi ni mkali mno haijawai kutokea
😅😅Watanzania jiandae Kwa kampeni za kufa mtu, kampeini za kiushindani.
Mchuano utakuwa mkubwa haijapata kutokea kati ya Samia na kina Dovutwa na mzee Rungwe.
Unaambiwa upinzani kwenye nafasi ya uraisi ni mkali mno haijawai kutokea
Nilikuwa nalitafuta hili Jina😅😅😅Umemsahau Chief Yemba kutoka ADC atawapa upinzani sana kina Samia.
Watajuana wao kwa wao. Sisi tuko bize kumwombea Lissu na kujitafutia Ugali wa watotoHuu uchaguzi ni wa chama tawala wao kwa wao kwa ngazi ya ubunge na udiwani. Watanyukana wao kwa wao ndani ya chama chao kwenye kura za maoni. Ni shughuli pevu, vigogo hawatadondoshwa na wagombea wapya, kuna uwezokano mkubwa rushwa itambezwa sana, wanasema mkono mtupu haulambwi. Wagombea wapya wanaenda kutengeneza cv tu kuwa walitia nia ila kura hazikutosha. Safari hii mbunge mzoefu kudondoshwa na mpya kwenye kura za maoni itashangaza sana! Labda akatwe juu kwa juu kwamba hatakiwi kuwa mbunge tena. Wana tabia ya kukatana wao kwa wao ndani ya kamati zao za siasa. Wakishachaguana kwenye kura zao za maoni itakuwa imetoka hiyo, hao ndio wabunge na madiwani na hawana washindani wa vyama vingine. Mwendo itakuwa kampeni nyepesi hapa na pale kusubiri kutangazwa wameshinda kwa kura za kishindo
tena ni giza nene lenye uteleziNaona tunakoenda ni gizani
Watajuana wao kwa wao. Sisi tuko bize kumwombea Lissu na kujitafutia UgHuu uchaguzi ni wa chama tawala wao kwa wao kwa ngazi ya ubunge na udiwani. Watanyukana wao kwa wao ndani ya chama chao kwenye kura za maoni. Ni shughuli pevu, vigogo hawatadondoshwa na wagombea wapya, kuna uwezokano mkubwa rushwa itambezwa sana, wanasema mkono mtupu haulambwi. Wagombea wapya wanaenda kutengeneza cv tu kuwa walitia nia ila kura hazikutosha. Safari hii mbunge mzoefu kudondoshwa na mpya kwenye kura za maoni itashangaza sana! Labda akatwe juu kwa juu kwamba hatakiwi kuwa mbunge tena. Wana tabia ya kukatana wao kwa wao ndani ya kamati zao za siasa. Wakishachaguana kwenye kura zao za maoni itakuwa imetoka hiyo, hao ndio wabunge na madiwani na hawana washindani wa vyama vingine. Mwendo itakuwa kampeni nyepesi hapa na pale kusubiri kutangazwa wameshinda kwa kura za kishindo
Mimi kazini walinipa jina la Dovutwa 🤣😭😭 nitawakumbusha liliishia wapi?!I remember my hubby nilikua namwita dovutwa😆😆😆dah ..
wanakuja kufanya kampeni za kitaifa za ajabu ajabu, hawajazi watu viwanjani utafiri ni diwani chama fulani kisichojulikana anafanya kampeni.Umemsahau Chief Yemba kutoka ADC atawapa upinzani sana kina Samia.
Kumbuka Chadema hawajasaini fomu za maadilikama hali hii ya kina lissu kutoshiriki uchaguzi mkuu, samia atapata ushindi wa mserereko kwa kura za wanachama wa chama chake tu. Kina rungwe na dovutwa kama kawaida yao watasindikiza na kuishia kuangukia pua, labda safari hii waonewe huruma waachiwe wabunge na madiwani wawili watatu au hata mmoja nao wajione wamo kwenye demokrasia. Kuna lile genge la chadema la G55 wanataka kugombea, Lissu yuko ndani, inawezekana genge hilo likagombea na kupata ubunge wakatinga bungeni na kuonekana mambo yalikuwa sawa uchaguzini mpaka wapinzani (wa mchongo) wameshinda. Utakuwa ni uchaguzi wa aina yake usiokuwa na mvuto wala hamasa ya kweli. kampeni zitapooza sana. Wanachi wamekata tamaa kushiriki chaguzi za abrakadabra
NLDKuna vyama hata sijui vilipataje usajili maana naona hata wagombea wao ni vibabu na havina mbadala na ni tangu tuwe na sera ya vyama vingi 1992 vipo tu. Ni bora viunge mkono nia ya chama tawala tu
wanakuja kufanya kampeni za kitaifa za ajabu ajabu, hawajazi watu viwanjani utafiri ni diwani chama fulani kisichojulikana anafanya kampeni.
Msukuma bila upinzani eti uchaguz hauna rahaSasa ccm watafanya kampen au vipi?
Samia apige kampeini na kina SerasiniHii hawataki kusikia kabisa. 😁
😆😆😆Unayakumbuka mapigo yake ya nguo? Ngoja niipekenyue hiyo picha😆🙌..Dovutwa Inside10 😆Mimi kazini walinipa jina la Dovutwa 🤣😭😭 nitawakumbusha liliishia wapi?!
Kama uraisi tu alijiteua kimasiala mziki wa Lissu angeuwezaHaahhahahaaa Kibibi aibuu ya mwakaaaaa..khaaa kiogaaaaaa sasa urais wake utakua na mantiki gani aisee yani yy kashazoea urais wa dezoooo...
Aibuuu aibuui aibuuuu