Uteuzi wa Dr Bashiru unafuatia kifo cha Balozi Kijazi. Binafsi sioni maandalizi ya kubadili katiba. Laiti Balozi Kijazi (RIP) angefutwa kazi kisha nafasi ikajazwa na Dr Bashiru kidogo ningeungana na kwaya inayoimba mapambio ya maandalizi ya kufuta ukomo wa miaka 10.Sasa kwa nini watu wauhusishe uteuzi wa Bashiru na uongezwaji wa mihula?
Katiba ipo lkn inahitaji muumini wa hiyo katibaKatiba ipo wazi. Mwisho ni mihula miwili.
Mna tamaa sana ya madarakaSasa kwa nini watu wauhusishe uteuzi wa Bashiru na uongezwaji wa mihula?
Ikulu ni pazuri sanaTunamtakia kila la heri. Amalize mhula wake wa mwisho, arudi kijijini kwake akapumzike kama alivyo utangazia mara kadhaa umma wa Watanzania.
We jamaa dizaini una njaa sana hadi unaishia kui project kwa wengine.Naona njaa imekupanda kichwani hasa mara baada ya biashara ya kubeba mabox kuota mbawa.
Hata kama wewe ni ngosha hupati uteuzi ng'ooo
Wewe ndo una uwezo mdogo wa kufikiri mkuu.Nilitegemea utoe utetezi huu dhaifu. Mambo mengine ni aibu, ni bora ukae tu kimya.
Reaction ya Watanzania baada ya uchaguzi ilitosha tu kukujuza kuwa CCM ni chama cha namna gani. Watanzania hawakuwa na si wajinga kama unavyoamini wewe.Ccm haitambi, bali madaraka ya urais yanayotumika vibaya kuteka watu, kuua wapinzani, kunajisi uchaguzi na uhayawani mwingine kama huo ndio yamayotamba. Kinachofanyika katika kuibeba ccm na kuifanya ionekane imara ni kiburi cha madaraka ya urais ya mwenyekiti wake. Kuna wakati Iddi Amin, Moi, Mugabe nk waliamini vyama vyao ni imara, sio kwakuwa kweli vilikuwa imara, bali yalikuwa ni madaraka ya viongozi hao kutumia vyombo vya dola kutoa upendeleo kwa vyama vyao, ndio waliitafsiri wao na wapambe wao kuwa vyama vyao ni imara.
Kama kweli kuongea kwa kujinyeyekeza kwa ccm kunavipa nafasi vyama vya siasa, basi vyama vinavyojipendekeza kwa ccm kama TLP, UDP, NCCR, CUF nk vingekuwa na nafasi huko kwa wananchi. Mtu mjinga ya kama ww ndio anaweza kuamini ccm hii ni imara. Chama imara hakishindi uchaguzi kwa kutumia udhaifu wa katiba na shuruti, nakushauri urudi shule ukajifunze uimara wa chama ni nini.
Maneno ya paragraph ya mwisho kabla ya ni hayo tu, ni rushwa - unajaribu kumpa rushwa Mh. Rais!Wasi wasi unakuja kwa vile tayari kuna watu walishaanza kutest mitambo, kuanzia bungeni mpaka kwa wasataafu wenye kuheshimika katika hii Nchi, mashaka zaidi yanakuja kwamba hakuna kiongozi yoyote wa CCM ambaye ameshawahi kukemea hili kwa KUMAANISHA, narudia kwa KUMAANISHA ukiacha Mzee Mkapa ambaye hatunaye kwa sasa.
Hilo ni moja, lingine linalonitia shaka ni nani atajaribu kuinua mdomo kusema, kuandika au hata kuonyesha dalili ya kupingana na hilo suala siku litakapoamuliwa, angali vyombo vya habari vilivyojikunyata, hakuna atakayepinga ikitokea siku imeamuliwa hivyo.
Dr. Bashiru amekuwa sehemu kubwa ya ushindi haramu na wa kishindo kwa CCM 2020, pengine akawa tena sehemu ya mageuzi ya Katiba yetu kufanikisha kile wengi wanachokihofia.
Niseme tu kwamba Mh. Rais amekuwa msema kweli na mpenzi wa Mungu wakati wote, hope hili linalosemwa hatalikubali hata alazimishwe vipi.
Ni hayo tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata kama anafikiria kuongoza muda anajidanganya wachawi tupo tutaunganisha nguvu atakufa [emoji23][emoji23]
Hukuelewa kauli hiyo! Alimaanisha, baada ya kuwa katibu mkuu, hata taka uteuzi mwingine wa kuongezewa hapo (kwa kingereza - concurrently). Ukikumbuka, baada ya hapo watu wengi walinyang'anywa vyeo vingine wakabaki na kimoja!Kuna clip ipo humu mitandaoni ikimuonyesha Bashiru akiapa kuwa hatukubali akipewa nafasi nyingine zaidi ya huo ukatibu mkuu. Kama Magufuli hana nia kujiongezea muda, ni kwanini amchague mtu aliyekiri mbele yake, na hadharani kuwa hayuko tayari kupatiwa nafasi nyingine tena?
Ni wapuuzi tu ndiyo wanaozusha. Mwenyewe ukimuona JPM amechoka na angependa 2025 ifike kesho akabidhi kijiti ila michadema, mungu anaionaSasa kwa nini watu wauhusishe uteuzi wa Bashiru na uongezwaji wa mihula?
Kapewa nafasi ile ile ya ukatibu...Kuna clip ipo humu mitandaoni ikimuonyesha Bashiru akiapa kuwa hatukubali akipewa nafasi nyingine zaidi ya huo ukatibu mkuu. Kama Magufuli hana nia kujiongezea muda, ni kwanini amchague mtu aliyekiri mbele yake, na hadharani kuwa hayuko tayari kupatiwa nafasi nyingine tena?
Katiba siyo msahafu/ biblia. Chochote chaweza badilishwa. Kwa sasa bunge lina 99.9% CCM.Katiba ipo wazi. Mwisho ni mihula miwili.
Kuna watu watakuwa disappointed sana Magufuli akimaliza muda wake 2025.Term limits zimeanza wakati wa Alhaji Ali Hassan Mwinyi....
Kuna watu watakuwa disappointed sana Magufuli akimaliza muda wake 2025.