Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,169
- 48,681
Ndio maana Mimi kila siku nasema kuwa Watanzania wana mtindio wa ubongo. Mtu mwenye mtindio wa ubongo akili yake haiko straight. Mtu mwenye mtindio wa ubongo hapaswi kuaminika, anasahau hovyo.
Brother wangu 2015 kwenye kura za maoni CCM kwa ngazi ya udiwani alikuwa nafasi ya tatu lakini kwa kuheshimu jina letu kule wilayani akapewa udiwani na mtu wa kwanza na wa pili wakaachwa. Hili jambo lilitokea kata nyingi Tanzania na baadhi ya majimbo ilikuwa the same. Mnakumbuka kule Kawe.
Wananchi wakakaa kimya, wajumbe wakaa kimya.
Samia kaiga ule mchezo wa Magufuli kelele nyingi sana nchi yote.
Mambo ya uhuni mengi ya awamu hii ya Samia ni kivule cha utawala wa Magufuli.
Yaani kipindi cha Magufuli hali ilikuwa mbaya sana. Sio utekaji, sio mauaji, sio kufilisiana n.k lakini watu wachache tu tulipiga kelele.
Leo hii kila mtu anajifanya anataka haki.
Unafiki mkubwa.
Lipeni kodi tule maana Watanzania bado hamumjui adui yenu. Mnaendeshwa kwa upepo.
Brother wangu 2015 kwenye kura za maoni CCM kwa ngazi ya udiwani alikuwa nafasi ya tatu lakini kwa kuheshimu jina letu kule wilayani akapewa udiwani na mtu wa kwanza na wa pili wakaachwa. Hili jambo lilitokea kata nyingi Tanzania na baadhi ya majimbo ilikuwa the same. Mnakumbuka kule Kawe.
Wananchi wakakaa kimya, wajumbe wakaa kimya.
Samia kaiga ule mchezo wa Magufuli kelele nyingi sana nchi yote.
Mambo ya uhuni mengi ya awamu hii ya Samia ni kivule cha utawala wa Magufuli.
Yaani kipindi cha Magufuli hali ilikuwa mbaya sana. Sio utekaji, sio mauaji, sio kufilisiana n.k lakini watu wachache tu tulipiga kelele.
Leo hii kila mtu anajifanya anataka haki.
Unafiki mkubwa.
Lipeni kodi tule maana Watanzania bado hamumjui adui yenu. Mnaendeshwa kwa upepo.