Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Binafsi mpk sasa jiwe anafanya vizuri mno,ukiondoa makosa anayoyafanya kumlinda dab,na kujaribu kuua upinzani,kwingine anafanya vizuri mno!
Binafsi sio mfuasi wa CCM Wala CHADEMA... Ila kwa mfumo wa nchi yetu bado kuna uwezekano mkubwa tuu CCM ikaendelea kutawala.. JF watu wenye akili kubwa nadhani hapa tayari mmejua sababu nini siwezi rudia maana yameongelewa vya kutosha..
Kwanini Membe ama January binafsi hawa jamaa nimewatathimini na kuona wanafaa kabisa wana CCM msituangushe..
Kwanza tunahitaji raisi ambaye ni mjanja mtoto wa mjini ambae anajua namna ya kuendana na kasi ya science na technology sio huyu jamaa anapenda ukoloni na kuturudisha maisha ya kizamani kama maswala ya vyama vya wakulima ilihali now day's ni soko hulia... Uza na nunua popote unapotaka dunia...
Pili chama ana nchi anaiendesha kwa mfumo wa kizamani yani wa kikoloni a kifalme kama vile nchi yake wakati anamiaka kadhaa tuu anaondoka anatuacha wananchi...mtoto wa mjini hawezi kufanya hivyo
Msemaji ni mmoja tuu nchi nzima na neno lake ni sheria huo nao ni ushamba lazima usikilize wenzio wanasema nini..
NI MAMBO MENGI YA KISHAMBA SHAMBA SIWEZI YAANDIKA YOTE NA YANATIA KINYAA.. UNAWEZA ONGEZEA HAPO..
ni wakati sasa nchi warudishiwe wajanja na watoto wa mjini... Kati ya MEMBE AMA JANUARY...
NANI UNAONA ANAFAA KUKUONGOZA KATI YA HAO WAWILI
hahahahha hawawezi mkuu mimi sio mtu wa mitaroHa ha ha ha sio kukuambaluty mkuu?😀😀😀😀😀
Kwahiyo wewe ni magufuri mwenyewe ama tumsuburi yeye aje? Afanye ku reply
Kwahiyo wewe ni magufuri mwenyewe ama tumsuburi yeye aje? Afanye ku reply
We ni nyumbu mbona unazuia uhuru wangu wa kubashiri raisi ajaye?