Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Kuna kale ka issue ka uuzwaji wa nyumba za serikali mkuu, unakakumbuka eeh!? Basi basi nyamaze na usome kimya kimya watu wasisikie!
Hii ndio si hasa ndani ya mama Tanzania, na hapa ni kulizima bunge kuruka live maana upande wa pili watatuumbua, kale kamchezo ka jana kumzuia Lema kusoma Hotuba yake ya wizara ya mambo ya ndani tulikamilisha,
Tunataka mtusifu tu na kutuongelea yale yanayotufurahisha tu otherwise tunawafyatisha,
Sanaa as usual in our good country and snitches leaders.