2020 sitampa kura Magufuli

jun255

JF-Expert Member
Nov 14, 2015
391
280
Huwa naamini ninaona mbali kuliko hapa nilipo kwa kutumia matukio ya hapa nilipo

Sikumpa kura yangu Lowasa kwa sababu niliamin alikuwa ameoza na angeifanya nchi Shamba la bibi

Lakini ikitokea hakuna mpinzani mwenye nguvu atakayegombea tofauti na Lowasa basi nitampa Lowasa kura yangu

Bora fisadi lakini nchi inaenda kuliko msafi lakini nchi inatumbukia shimoni huku tukishangilia utumbuaji wa vidagaa
 
Wananchi wote ndo watapima na kuamua wampe nani Kura..ukitaka kujua hilo vunja serikali leo urudi kwenye uchaguzi tena uone nani ataambulia Kura.3..mim siasa sizijui vizuri ila nnachokiona kwa sasa magufuli kateka minds za watu wa hali ya chini kimaisha ambao ni kundi kubwa la watanzania kwa kupunguza gap kubwa la alyenacho na asie nacho
 
Msafi anaegopa kashfa zake kubwa 3 tu anaogopa zisisemwe! Zile Bil 265 ziliyeyuka CAG alimtumbua live hadi leo haijajulik zilifanyia nini: Njoo kweny ile boat MV Bagamoyo....ile iko wazi kabisa hata yeye haongelei tena! Ingine iko wazi nyumba za serikali...ile ndio kubwa lao! Anatumbua dagaa dagaa tu! Afyatuke atumbue escrow iptl lugumi.....tutasema kweli ana nia kupambana na mafisadi!
 
Kwenye kampeni ilisemekana ni msafi hana makandokando
Kuna kale ka issue ka uuzwaji wa nyumba za serikali mkuu, unakakumbuka eeh!? Basi basi nyamaze na usome kimya kimya watu wasisikie!

Hii ndio si hasa ndani ya mama Tanzania, na hapa ni kulizima bunge kuruka live maana upande wa pili watatuumbua, kale kamchezo ka jana kumzuia Lema kusoma Hotuba yake ya wizara ya mambo ya ndani tulikamilisha,

Tunataka mtusifu tu na kutuongelea yale yanayotufurahisha tu otherwise tunawafyatisha,

Sanaa as usual in our good country and snitches leaders.
 
utake usitake hata kwa mtutu kijani wataingia tu, tutakula sana mkong'oto, manake nchi hii kupiga watu wasio na hatia tunaweza lakini sio kulinda raslimali zetu, ule ulinzi niliouona kipindi cha uchaguzi, kama ungeendelea basi wizi wa kwenye mabank usingekuwepo kabisa, nchi ilikuwa na ulinzi mkali mno kumbe walimwaga kupiga na kutimua walinda kura
 
Nchi hii imegeuzwa kua ya kisiasa. Hivi ni mwelekeo wa kuelekea kwenye dola la kiimla. Kitakachofuata baada ya kuwaweka wanasiasa kua absolute ruler then jeshi litapewa uwezo mkubwa wa kuwalinda hao wanasiasa. Yaani kwaheri Tanzania yenye amani. Km kuna anaebisha atakua anabisha kisiasa
 
Wananchi wote ndo watapima na kuamua wampe nani Kura..ukitaka kujua hilo vunja serikali leo urudi kwenye uchaguzi tena uone nani ataambulia Kura.3..mim siasa sizijui vizuri ila nnachokiona kwa sasa magufuli kateka minds za watu wa hali ya chini kimaisha ambao ni kundi kubwa la watanzania kwa kupunguza gap kubwa la alyenacho na asie nacho
Nakupa mwaka mmoja hata wananchi wa hali ya chini watakuwa wanamchukia!
Huwez kumpenda mtu kisa anatumbua majipu wakati sukari imepanda bei,mchele,bidhaa mbali mbali
Vifaa vya ujenzi na maisha yanazidi kuwa magumu
Nakuapia huyu jamaa hataishia kwenye sukari pekee! Atakurupuka na kwenye vitu vingine na hapo ndipo atakapozidi kufanya watu wamjue vzr!

Shika maneno yangu" ! Huyu jamaa asipokubali kupata washauri bora na afate ushauri wao basi Tanzania haina future yoyote
 
Nchi hii imegeuzwa kua ya kisiasa. Hivi ni mwelekeo wa kuelekea kwenye dola la kiimla. Kitakachofuata baada ya kuwaweka wanasiasa kua absolute ruler then jeshi litapewa uwezo mkubwa wa kuwalinda hao wanasiasa. Yaani kwaheri Tanzania yenye amani. Km kuna anaebisha atakua anabisha kisiasa
Na usishangae tunakoelekea itakuwa ukifungua hata uzi kama huu kwenye mitandao ya kijamii unatafutwa na kupotezwa kimyakimya! Yaani namuogopa huyu jamaa sana
 
Wananchi wote ndo watapima na kuamua wampe nani Kura..ukitaka kujua hilo vunja serikali leo urudi kwenye uchaguzi tena uone nani ataambulia Kura.3..mim siasa sizijui vizuri ila nnachokiona kwa sasa magufuli kateka minds za watu wa hali ya chini kimaisha ambao ni kundi kubwa la watanzania kwa kupunguza gap kubwa la alyenacho na asie nacho
Mkuu upo nje ya Tz nn? Toka aingie mpaka leo hakuna Jipya, hospital hamna Jipya ni yaleyale, Gharama za maisha zimepanda sana, kifp kachokwa mapema sana
 
Huwa naamini ninaona mbali kuliko hapa nilipo kwa kutumia matukio ya hapa nilipo

Sikumpa kura yangu Lowasa kwa sababu niliamin alikuwa ameoza na angeifanya nchi Shamba la bibi

Lakini ikitokea hakuna mpinzani mwenye nguvu atakayegombea tofauti na Lowasa basi nitampa Lowasa kura yangu

Bora fisadi lakini nchi inaenda kuliko msafi lakini nchi inatumbukia shimoni huku tukishangilia utumbuaji wa vidagaa
Endelea kuzungusha mikono.
 
Back
Top Bottom