Hvi mkuu unaongelea report ya CAG.?angekuwa yule mgombea wa ukawa raisi c ndo ungemkataa kabsa..maana yle na magufuli cjui nani afadhali..Msafi anaegopa kashfa zake kubwa 3 tu anaogopa zisisemwe! Zile Bil 265 ziliyeyuka CAG alimtumbua live hadi leo haijajulik zilifanyia nini: Njoo kweny ile boat MV Bagamoyo....ile iko wazi kabisa hata yeye haongelei tena! Ingine iko wazi nyumba za serikali...ile ndio kubwa lao! Anatumbua dagaa dagaa tu! Afyatuke atumbue escrow iptl lugumi.....tutasema kweli ana nia kupambana na mafisadi!
Transition huwa ina dira na watu huivumilia wakijua ni ya muda sasa hii ya kwake dira yake ni ipi? Anataka kutupeleka katika uchumi wa aina gani? Ni transition gan haina dira? Watu tunapelekwa pelekwa tu? Nchi ya viwanda gani wakati wizara ya viwanda umeipa bil 60?? Tatizo hana dira na hatujui anataka kutupeleka wapi? Angekuwa na dira ya anakoelekea tungevumiliaHali unayoiona ya sasa ni matokeo ya uongozi ulopita. And transition never be easy.
Ahahaha mi nnachomkubali uyu jamaa ata watu wa chama chake wengne wanalalamika maana ake mwanzo walizoea ktonga...ila mkumbuke ata roma haikujengwa kwa siku.1,tumpe muda alaf tutaona baada ya miaka.5 wananchi ndo wataamua maana wanaona wenywe kwa macho yao,kutumbua majipu ndo kwanza naona anaweka mfumo sawa..au nyie mnataka kusema tungempa yule wa ukawa ambae alituahidi ndani ya siku 100 angeibadlisha Tanzania..?hali ngumu ilo lilijulikana mapema maana serikali ilitumia pesa nyingi kwnye uchaguzi uliopita..but time will tell!!.Nakupa mwaka mmoja hata wananchi wa hali ya chini watakuwa wanamchukia!
Huwez kumpenda mtu kisa anatumbua majipu wakati sukari imepanda bei,mchele,bidhaa mbali mbali
Vifaa vya ujenzi na maisha yanazidi kuwa magumu
Nakuapia huyu jamaa hataishia kwenye sukari pekee! Atakurupuka na kwenye vitu vingine na hapo ndipo atakapozidi kufanya watu wamjue vzr!
Shika maneno yangu" ! Huyu jamaa asipokubali kupata washauri bora na afate ushauri wao basi Tanzania haina future yoyote
Mkuu upo nje ya Tz nn? Toka aingie mpaka leo hakuna Jipya, hospital hamna Jipya ni yaleyale, Gharama za maisha zimepanda sana, kifp kachokwa mapema sana
Kawasaidia nini sasa mana kumtumbua mtu afu mtu wa chini maisha yake hayabadiliki maana yake nini nilitegemea mtu wa chini afanane na wa juu sio wa juu aganane na wachini
Amepunguzaje hilo gap,kwa kutumbua majipu au?? Hivi unajua maana ya kupunguza gap kati ya walionacho na wasionacho??
Hilo gap la aliyenacho na asiyenacho limepunguzwa kwa kuwaongezea wasio nacho wafanane na walionacho au kuwabomoa walionacho wawe kama wasionacho?
Kwahiyo wananchi wamefurahia hali hii ya sasa?
Chichiem wakata viuno aka SnuraTushawazoea wazungusha mikono,na sasa itabidi mzungushe viuno.
mafanikio ya kila nifanyalo ynategemea sana serikali,,,ukihitaji njoo inbox nkusaidieFanya kazi, baada ya miaka mitano pima matokeo ya kazi yako badala ya kufikiria kazi ya Magufuli au Lowassa
Wewe usiwe mtu wa ndio Mzee, wewe angalia mzunguko wa pesa ukojeUKIONA WATU WANAPATA SHIDA NA JPM JUA NAO NI MAJIPU!!!
Kupambana na ufusadi ndo dira?Hivi karibuni Tz tumesifiwa na dunia kwa kupambana na ufisadi. MKM katoa somo Londom. We unasemaje? You must be CRAZY. Magu hahitaji kura za watu wa aina yako. To hell. Aaagh.
Kwenye kampeni ilisemekana ni msafi hana makandokando
Nijuavyo mimi kwa kawaida hata mwanafunzi akiwa shule ya msingi hupimwa kwa mitihani mikuu miwili yaani darasa la nne na la saba. Vivyo hivyo kwa sekondari ktk kidato cha pili na cha nne. Lengo la mitihani hiyo ni kuhakikisha unafikia lengo la kufikia ngazi za juu zaidi. Elewa kuwa ktk mitihani hiyo yooote,changamoto na vikwazo mbalimbali haviepukiki. Hata kwenye siasa ktk nchi yetu kuna mhula wa kwanza miaka mitano na kisha uchaguzi kufanyika. Mwanafunzi awapo shule pia hupitia changamoto nyingi ambazo wakati mwingine baadhi ya changamoto zaweza kumsababisha yeye mwenyewe kukata tamaa na masomo au wazazi kukata tamaa ya kumsomesha kutokana na hila au ukosefu wa ada na mengine mengi,lakini kwa mtu makini ataendelea kupambana hadi mwisho. Kwa sasa kwenye siasa zetu kumeingiwa na watu wenye itikadi tofauti yaani tabaka linalotaka kuendelea kuneemeka na walichodhulumu na lile linalotaka kuwepo na usawa japo si usawa wa asilimia 100. Rais vivyo hivyo anaweza kupitia changamoto nyingi lakini ambazo zinaweza kuwa na vizuizi vingi toka kwa walionacho na hata wasionacho. Walionacho wanaweza kuweka vikwazo kwa kujua na wasionacho wanaweza kufanya hivyo kwa kutojua madhara yake. Sasa kwa mtu mwelewa wa nia ya rais anachokifanya sasa anaweza kusema kama ulichoandik mleta mada lakini kwa yule ajuaye hayo anaungana na Rais kuleta maendeleo ya nchi na si kukata tamaa zenye mlengo wa kisiasa.Huwa naamini ninaona mbali kuliko hapa nilipo kwa kutumia matukio ya hapa nilipo
Sikumpa kura yangu Lowasa kwa sababu niliamin alikuwa ameoza na angeifanya nchi Shamba la bibi
Lakini ikitokea hakuna mpinzani mwenye nguvu atakayegombea tofauti na Lowasa basi nitampa Lowasa kura yangu
Bora fisadi lakini nchi inaenda kuliko msafi lakini nchi inatumbukia shimoni huku tukishangilia utumbuaji wa vidagaa