bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,374
- 3,972
Mwenzako alitabiri kwamba kufikia 2015 CDM itakuwa imekufa!
Matokeo yake yeye mwenyewe ndiye akafa kisiasa na kaburi lake kufukiwa na Bulaya!
Kila kitu kina mwanzo na huu ndio mwanzo wenu.
Mwenzako alitabiri kwamba kufikia 2015 CDM itakuwa imekufa!
Matokeo yake yeye mwenyewe ndiye akafa kisiasa na kaburi lake kufukiwa na Bulaya!
Mkuu naona wakati wa uchaguzi huyu dogo alikuwa mererani akitumika kama nyoka,na baada ya kurudi ndio akapata vijicent vya kununua kamchinaHivi bado tu hujaamini kuwa Cyril Chami amepigwa chini na hatakiwi?
Na ni kujipa liwazo kwa wana lumumba baada ya jana madiwani wa ukawa kustukia janja ya ma ccm kutaka kuwasainisha kanyaboyaHii thread ya watu wa Lumumba kutoa stress zao hasa baada ya kuona maamuzi ya kufanya vikao vya bunge kuwa siri imewachefua watanzania wote kasoro wale wanaotaka maovu ya ccm yasiwekwe wazi bungeni.
Eti nawe ni GT?Chadema chaliii!..
Shukrani za pekee zimwendee lubbuuvaaNdo za viroba izo, chadema tunafkir kuchukua nchi, mambo ya wabunge hatuwaz coz uchaguz uliyopita bila kuiba ccm msinge pata wabunge
Endelea kupiga chakacha na vangaUhuru wa habari unatusaidia nini kwani uhuru wa habari unachimba visima vya maji mbona rwanda na islael hakuna uhuru wa habari lkn mambo yanasonga.
Afadhali umwambie huyo maana hata gazeti tu hana uwezo wa kulisomaRudi shule hakuna nchi inaitwa islael. Over.
Naona ipo simiyuMmh, hata wewe mkuu? Halafu hii "Islael" iko bara gani vile?
Uhuru wa habari unatusaidia nini kwani uhuru wa habari unachimba visima vya maji mbona rwanda na islael hakuna uhuru wa habari lkn mambo yanasonga.
Hawa jamaa waache waendelee kuota ndoto. Sasa hivi ajira badala ya kuongezeka zinapungua, ujambazi unaongezeka hata Wakala M-PESA anauwawa kwa elfu 50 tuu. Sukari ambayo ni kimbilio la wanyonge Leo Mwanza kuna sehemu 3,000/.Hii thread ya watu wa Lumumba kutoa stress zao hasa baada ya kuona maamuzi ya kufanya vikao vya bunge kuwa siri imewachefua watanzania wote kasoro wale wanaotaka maovu ya ccm yasiwekwe wazi bungeni.
Kila mwaka mnasema hivyo hivyo...tumesha aazoea.Chadomo kwisha
Chadema chaliii!..
Ikiwa Watanzania wataamua hivyo itakuwa ni sawa tu.Ingawa kwa wenye uelewa kukosa upinzani ni janga katika nci kama ya kwetu ambapo wabunge wa chama tawala wanaitetea serikali badala ya kuisimamia.Kwa kasi hii ya John Pombe Magufuli...sioni chadema ikitusua uchaguzi ujao
.
Chadema Ya Dr. Slaa sio hii ya mashinji .
Chadema sasa imekosa dira....chadema iliyokuwa inapigania ufisadi sasa inatetea ufisadi
.
Chadema ya sasa haiminiki tena ..
Chadema iliyozoea kupata kiki za kisiasa kwa kukosoa serikari , sasa bado inatumia mbinu za zamani., mbinu iliyopitwa na wakati ..
Kwa muono wa mbali na utafiti sioni chadema ikitusua uchaguzi 2020.
Namshauri kamanda wa gia za angani ,ajitathimini alipokosea,kabla chadema haijapotea kabisa.,
Serikali imeonekana?Ni kwel hapa moshi vijijini mafuriko yametokea mbunge aonekani sijui itakuaje..
Hii thread ya watu wa Lumumba kutoa stress zao hasa baada ya kuona maamuzi ya kufanya vikao vya bunge kuwa siri imewachefua watanzania wote kasoro wale wanaotaka maovu ya ccm yasiwekwe wazi bungeni.