Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,168
Uhuru wa habari unatusaidia nini kwani uhuru wa habari unachimba visima vya maji mbona rwanda na islael hakuna uhuru wa habari lkn mambo yanasonga.
Ni mpumbavu pekee ndie anaeweza kuufananisha mfumo wa Israel na Tanzania utafikiri Tanzania ni Israel na Israel ni Tanzania,jinga wew