farajakwangu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,942
- 701
Kwa vile magu hatabiriki hadi uchaguz ccm watakuwa wamevurugana kwani Mpaka sasa amevuruga wengi ndani ya ccm, yeye anaweza kushinda tena kwa kishindo ila si wabunge wake
Kuwa kwake jimboni, na kusaidiana na waliomchagua ni mchango mkubwa sana. Lakini kuwa amejikita Dodoma kuendelra kupokea marupurupu na huku anakula kuku kwa mrija, hali wananchi wa jimbo lake wako kwenye. Hiyo haileti Picha nzuri. Wakati wa shida ni lazima awe jimboni ili aweze kusaidia kwa uwezo wake.Mbunge anazuia mafuriko na mikono!? Watu wengine bhana!
Kwa kasi hii ya John Pombe Magufuli...sioni chadema ikitusua uchaguzi ujao
.
Chadema Ya Dr. Slaa sio hii ya mashinji .
Chadema sasa imekosa dira....chadema iliyokuwa inapigania ufisadi sasa inatetea ufisadi
.
Chadema ya sasa haiminiki tena ..
Chadema iliyozoea kupata kiki za kisiasa kwa kukosoa serikari , sasa bado inatumia mbinu za zamani., mbinu iliyopitwa na wakati ..
Kwa muono wa mbali na utafiti sioni chadema ikitusua uchaguzi 2020.
Namshauri kamanda wa gia za angani ,ajitathimini alipokosea,kabla chadema haijapotea kabisa.,
How mkuu, mbona kuna issues nyingi tu mkuuKwa kasi hii ya John Pombe Magufuli...sioni chadema ikitusua uchaguzi ujao
.
Chadema Ya Dr. Slaa sio hii ya mashinji .
Chadema sasa imekosa dira....chadema iliyokuwa inapigania ufisadi sasa inatetea ufisadi
.
Chadema ya sasa haiminiki tena ..
Chadema iliyozoea kupata kiki za kisiasa kwa kukosoa serikari , sasa bado inatumia mbinu za zamani., mbinu iliyopitwa na wakati ..
Kwa muono wa mbali na utafiti sioni chadema ikitusua uchaguzi 2020.
Namshauri kamanda wa gia za angani ,ajitathimini alipokosea,kabla chadema haijapotea kabisa.,
Chadema naona kwa wabunge na nafas nyingine za kupigiwa kura wataongeza idadi ila kwa rais magu tu. Magu anakubalika ila watendaji wake bado tunawaona ni vibaka tu tena hii ya kutoonyesha bunge tutaenda kwa hasira zote kuwatoa wabunge wa ccm na wanachojifichia huko
Hapa ni kazi tuu hizo nyingine keleleunaota ndoto wewe. magu anayeharibu mpaka mazuri ya jk ya kuacha uhuru wa habari. endelea kuota....
Ndo unazidi kuharibu kabisa, Uzi wako Wa mihemko unatakiwa kufutwa kabisaChadomo kwisha
Mkuu wasamehe bure Wamebaki kuwa wapiga ramli tu, wanatia hurumaMwaka jana mlisema mbunge wa kwanza kutorejea bungeni atakuwa Sugu. Cha kushangaza huyo Sugu kapata kura ambazo hazikufikiwa na mbunge yeyote yule katika uchaguzi wa 2015. Yaani CCM wanachoweza ni kutembea na fisi tu bhaaaasi.
Kwa wabunge hawa wanaojifungia sahau tutawakumu tu kwa kutunyima kuona bunge.Kwa kasi hii ya John Pombe Magufuli...sioni chadema ikitusua uchaguzi ujao
.
Chadema Ya Dr. Slaa sio hii ya mashinji .
Chadema sasa imekosa dira....chadema iliyokuwa inapigania ufisadi sasa inatetea ufisadi
.
Chadema ya sasa haiminiki tena ..
Chadema iliyozoea kupata kiki za kisiasa kwa kukosoa serikari , sasa bado inatumia mbinu za zamani., mbinu iliyopitwa na wakati ..
Kwa muono wa mbali na utafiti sioni chadema ikitusua uchaguzi 2020.
Namshauri kamanda wa gia za angani ,ajitathimini alipokosea,kabla chadema haijapotea kabisa.,
Kwa kasi hii ya John Pombe Magufuli...sioni chadema ikitusua uchaguzi ujao
.
Chadema Ya Dr. Slaa sio hii ya mashinji .
Chadema sasa imekosa dira....chadema iliyokuwa inapigania ufisadi sasa inatetea ufisadi
.
Chadema ya sasa haiminiki tena ..
Chadema iliyozoea kupata kiki za kisiasa kwa kukosoa serikari , sasa bado inatumia mbinu za zamani., mbinu iliyopitwa na wakati ..
Kwa muono wa mbali na utafiti sioni chadema ikitusua uchaguzi 2020.
Namshauri kamanda wa gia za angani ,ajitathimini alipokosea,kabla chadema haijapotea kabisa.,
Watu wengine vp...??kwan humu class...?? au hujaelewa jamaa alicho andika hapo juu......?? Mnakosoa sana changia hojaKiswahili kinashida sana watu hawajui kuandika kabisa