Maajabu!Una uhakika na unayoyasema? Unazijua vizuri za nchi hizo? Ukiwa bwege utaandika tu.Uhuru wa habari unatusaidia nini kwani uhuru wa habari unachimba visima vya maji mbona rwanda na islael hakuna uhuru wa habari lkn mambo yanasonga.
Kana nIKweli mbona huonyeshi furaha unamkumbuka mzee wa Bunda alisema CDM itakufa kabla ya dec.2014 kumbe alikuwa analiaga Bunge pamoja na siasa kwa sasa hatujui alipo weee angalia unajitia LAANA CDM ni mpango wa MUNGUNamshauri kamanda wa gia za angani ,ajitathimini alipokosea,kabla chadema haijapotea kabisa.,
Kwa kasi hii ya John Pombe Magufuli...sioni chadema ikitusua uchaguzi ujao
.
Chadema Ya Dr. Slaa sio hii ya mashinji .
Chadema sasa imekosa dira....chadema iliyokuwa inapigania ufisadi sasa inatetea ufisadi
.
Chadema ya sasa haiminiki tena ..
Chadema iliyozoea kupata kiki za kisiasa kwa kukosoa serikari , sasa bado inatumia mbinu za zamani., mbinu iliyopitwa na wakati ..
Kwa muono wa mbali na utafiti sioni chadema ikitusua uchaguzi 2020.
Namshauri kamanda wa gia za angani ,ajitathimini alipokosea,kabla chadema haijapotea kabisa.,
Chadema naona kwa wabunge na nafas nyingine za kupigiwa kura wataongeza idadi ila kwa rais magu tu. Magu anakubalika ila watendaji wake bado tunawaona ni vibaka tu tena hii ya kutoonyesha bunge tutaenda kwa hasira zote kuwatoa wabunge wa ccm na wanachojifichia huko
AnakujaNi kwel hapa moshi vijijini mafuriko yametokea mbunge aonekani sijui itakuaje..
UnajidanganyaKwa kasi hii ya John Pombe Magufuli...sioni chadema ikitusua uchaguzi ujao
.
Chadema Ya Dr. Slaa sio hii ya mashinji .
Chadema sasa imekosa dira....chadema iliyokuwa inapigania ufisadi sasa inatetea ufisadi
.
Chadema ya sasa haiminiki tena ..
Chadema iliyozoea kupata kiki za kisiasa kwa kukosoa serikari , sasa bado inatumia mbinu za zamani., mbinu iliyopitwa na wakati ..
Kwa muono wa mbali na utafiti sioni chadema ikitusua uchaguzi 2020.
Namshauri kamanda wa gia za angani ,ajitathimini alipokosea,kabla chadema haijapotea kabisa.,
Mafuriko yaliletwa na Mbunge?Ni kwel hapa moshi vijijini mafuriko yametokea mbunge aonekani sijui itakuaje..
Jamaa mwenyewe jipu kaogopa kutumbuliwa liveMkuu, kwa Upinzani ni CHADEMA tu ? Kwa nini sio CUF. TLP, ACT n.k. Hata hivyo, kumbuka kuwa Mhe. Magufuli sio Mbunge bali yako kwenye muhimili mwingine, kwa hiyo anaweza kuwa anafanya vizuri Serikalini, lakini Bungeni wako ovyo hasa hili kuendelea kutetea maslahi ya chama badala ya maslahi ya taifa. Hebu sasa niambie ni kwa nini hata baada ya vyombo vya habari binafsi kujitolea kuonyesha vikao vya Bunge, bado vimekataliwa, kuna nini kinafichwa nyuma ya pazia ?