Kichwa maji hikiUhuru wa habari unatusaidia nini kwani uhuru wa habari unachimba visima vya maji mbona rwanda na islael hakuna uhuru wa habari lkn mambo yanasonga.
Kwa hiyo jirani akila kinyesi na wewe utakula? Akili nyingine ni kwa ajili ya kuvukia barabara tu!Uhuru wa habari unatusaidia nini kwani uhuru wa habari unachimba visima vya maji mbona rwanda na islael hakuna uhuru wa habari lkn mambo yanasonga.
Ni kwel hapa moshi vijijini mafuriko yametokea mbunge aonekani sijui itakuaje..
Umekosea itapoteza kabisa 100%Kwa kasi hii ya John Pombe Magufuli...sioni chadema ikitusua uchaguzi ujao
.
Chadema Ya Dr. Slaa sio hii ya mashinji .
Chadema sasa imekosa dira....chadema iliyokuwa inapigania ufisadi sasa inatetea ufisadi
.
Chadema ya sasa haiminiki tena ..
Chadema iliyozoea kupata kiki za kisiasa kwa kukosoa serikari , sasa bado inatumia mbinu za zamani., mbinu iliyopitwa na wakati ..
Kwa muono wa mbali na utafiti sioni chadema ikitusua uchaguzi 2020.
Namshauri kamanda wa gia za angani ,ajitathimini alipokosea,kabla chadema haijapotea kabisa.,
Rudi shule hakuna nchi inaitwa islael. Over.Uhuru wa habari unatusaidia nini kwani uhuru wa habari unachimba visima vya maji mbona rwanda na islael hakuna uhuru wa habari lkn mambo yanasonga.
Mkuu majitu kama hayo hayakosagi kwenye jamiiunaota ndoto wewe. magu anayeharibu mpaka mazuri ya jk ya kuacha uhuru wa habari. endelea kuota....
Uhuru wa habari unatusaidia nini kwani uhuru wa habari unachimba visima vya maji mbona rwanda na islael hakuna uhuru wa habari lkn mambo yanasonga.
Ccm inatisha aisee na kama vingozi wenyewe ndio hawa basi ccm haikamatiki na cdm itapoteza 100%Kwa kasi hii ya John Pombe Magufuli...sioni chadema ikitusua uchaguzi ujao
.
Chadema Ya Dr. Slaa sio hii ya mashinji .
Chadema sasa imekosa dira....chadema iliyokuwa inapigania ufisadi sasa inatetea ufisadi
.
Chadema ya sasa haiminiki tena ..
Chadema iliyozoea kupata kiki za kisiasa kwa kukosoa serikari , sasa bado inatumia mbinu za zamani., mbinu iliyopitwa na wakati ..
Kwa muono wa mbali na utafiti sioni chadema ikitusua uchaguzi 2020.
Namshauri kamanda wa gia za angani ,ajitathimini alipokosea,kabla chadema haijapotea kabisa.,
Teeeeeeh teeeeeeeeeh, haya magamba huyajui kuwa huwa yana kurupuka kama huyu mdudu kutoka porini?Sasa tuachieni bunge basi liwe live, mnaogopa nini?
Sasa tuachieni bunge basi liwe live, mnaogopa nini?
Na aliye yasema sasa hivi yupo hoi bin taaban laana ya kuibeza cdm ina endelea kumtesa na sasa anachunga mbuzi kijijini kwaoHahahahaha mulisema uchaguzi huu itakuwa kimekufa ndio wamechukuwa halmashauri zote za mijini ikiwemo ikulu