Huyu msichana ni Mjerumani mwenye asili ya Tanzania. Baba yake Mtanzania wa Zanzibar mama yake Mjerumani. Leo ameshinda taji la long jump.
Nilivyoona jina tu nikajua huyu wa nyumbani. Duo citizenship tunaihitaji ili kuwa na vipaji kama hivi,yaani waende waendako wawakilishe nyumbani
Nilivyoona jina tu nikajua huyu wa nyumbani. Duo citizenship tunaihitaji ili kuwa na vipaji kama hivi,yaani waende waendako wawakilishe nyumbani