2016 US Elections - Exlusive discussion thread

2016 US Elections - Exlusive discussion thread

The Wikileaks issue is Hillary's weakness. Though Trump is not saying anything factual he is giving the impression of doing well and recovering from the initial wobble at the beginning
 
Of course these politicians are masters at being two faced

Hypocrisy is not forbidden in politics.

Most of them [politicians] are hypocrites, and yes, that includes Hillary and Donald.
 
Bora nawe umeliona hili, kuna wakati alikuwa kasimama nyuma ya Hillary nikadhani anataka kufanya uhuni wake wa kumgrop Hillary.......🙂🙂

Trump avyotembea tembea hapo utadhan bondia anajiandaa kuingia ulingoni
 
Bora nawe umeliona hili, kuna wakati alikuwa kasimama nyuma ya Hillary nikadhani anataka kufanya uhuni wake wa kumgrop Hillary.......🙂🙂


Hahaha!, seriously BAK. 😀😀
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Imebidi swali liulizwe upya....lakini bado jamaa yuko off point
 
Ni hatari sana kwa Marekani kuwa na Rais ambaye ambaye hayuko exposed na International Affairs. Sijui kwanini namuona Trump ni mweupe kwenye mambo mengi hususan International Affairs. Hayo yaishie hukohuko kwetu. Maana Trump haelewi genesis ya Syria wala namna nchi yake inavyoendeshwa kwa miaka nenda rudi. Very sad
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom