Mipangomingi
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,713
- 2,062
Lakini leo mpole isivyo kawaida yake.Trumpa anaweza kuanguka leo..halafu halijibu swali linaloulizwa linazunguka tu..mambo ya isis kwenye swali la ujinga wake kwa wanawake yanatoka wapi
Lakini leo mpole isivyo kawaida yake.Trumpa anaweza kuanguka leo..halafu halijibu swali linaloulizwa linazunguka tu..mambo ya isis kwenye swali la ujinga wake kwa wanawake yanatoka wapi
(kwenye issue ya email)
Mkuu.Yaani hata spouses ni wastaarabu kuliko wagombea.....
![]()
Ila Melania...daaaah....ngoja nisiseme sana nisije itwa misogynist bure....😀
Vipi ukimcheki Kim Kardashian....anaweza akakupa pointers.
Hana plan linapiga sound tu...obamacare is a disaster...halafu hatoi soln..Ila ukweli Trump hana solutions na matatizo ya wamarekani. Anachojua ni kulaumu tu. Hana tofauti na wa kwetu.
Naona Ngabu unataka kusema chura sijui nini.Vipi Mahoza...?
Her ass if flat...



Hii setting ya town hall is kind of hard for Trump.
He's not engaging much with the audience the way Hillary does. He seems out of place.