BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
- Thread starter
- #561
Ni aibu kubwa kweli debate ya issues mbali mbali muhimu za US na dunia nzima itekwe nyara na mambo ya kuhusu nonino. Simaanishi matendo waliyotendewa hawa wadada na kauli za Trump hayana/hazina uzito.
Kati ya hao wanawake wanne, wawili ambao ni Paula Jones na Kathy Shelton mmoja wao amesema wazi kwamba Bill Clinton alimbaka na Hillary Clinton akamtishia kutosema kokote!
Hiyo ni hatari!