Hakuna aliyahakiki Ung'eng'e wa mkulu?Raisi Magufuli ametoa pongezi kwa Trump kwenye lugha hapo sijajua kama alisoma kabla ya kuandika.
View attachment 431481
Lakini ujumbe umefika.
Hakuna aliyahakiki Ung'eng'e wa mkulu?Raisi Magufuli ametoa pongezi kwa Trump kwenye lugha hapo sijajua kama alisoma kabla ya kuandika.
View attachment 431481
Ni sheria au ni utashi wa mtu?Nasubiri simu ya rais wetu kwenda kwa Rais mteule wa Marekani bwana Donald Trump ..
Kama alivyofanya Kikwete mwaka 2008 baada ya Obama kushinda Urais..
Alimpongeza kwa ushindi alioupata.
Sasa ni zamu ya Rais wetu kumpongeza Trump.
Democratic wanasupport mambo ya ushoga.Hivi kati ya Trump na Clinton nani alikuwa anasapoti ushoga??
Sidhani kama itakuwa ishu sanaSaiv mwarabu kuingia marekani itakua ishu
Hebu atupishe huko, ni demokrasia gani anayoifahamu huyu?Juma ponda Mali ni mnafiki wakutupwa hayaishi maneno yake yeye mwenyewe anaye minya democrasia nchini, nimeshangaa kuwa wa kwanza kupongeza
Haaah uzuri wa Trump ni business man anajua maana ya uchumi anaweza paisha uchumi waoNapenda mtu awe nusu mhuni nusu mstaarabu,sio jitu linajifanya liko serious sana mpaka lina kela full kubana watu
Nenda tu huko MMUSIJUI NIRUDI JUKWAA LA MMU AU NISUBIRI SUBIRI TENA UNDAMBWI WA MWISHONI MWISHONI MAANA KASHASHINDA MJOMBA HUYU
Hahahaha naona wameanza kushikana mashat . ..nan atamfunga paka kengele....Alikuwa anatania tu.
Democrats wameanza kushikana mashati.
Link Bernie supporters on Twitter erupt in anger against the DNC: 'We tried to warn you!'
Kajifundishe kwanza kuandika.Saiv mwarabu kuingia marekani itakua ishu
Yes, I'm positive. Heard it from him...Are you sure alikuwa hivyo au yupo hivyo? Sio propaganda tu za kumchafua
NA ZILE HELA MNAZO POKEA MZIPIGE STOPHapa umeongea upupu na wewe!
A president elected by americans and rule Africa....???
Nyerere alishasemaga haya! Kama marais wa marekani wanatufanyia maamuzi basi hata siku ya uchaguzi raia wetu nao wakapige kura marekani...
Haaaah jamaa atakuwa Rais wa muhura 1
unafiki mbaya sana. Aise ..ila trump will "crush" themJuma ponda Mali ni mnafiki wakutupwa hayaishi maneno yake yeye mwenyewe anaye minya democrasia nchini, nimeshangaa kuwa wa kwanza kupongeza