magu hana na hakuwahi kuwa na mvuto.
mwaka huu (uchaguzi serikali za mitaa) ntagombea upande wa ccm si kwa lengo la kushinda hapana nataka niwavuruge na kuunda makundi
ili 2020 nigombee udiwani (hapa tena lengo niwavuruge) maana hivi hivi watatawala miaka mingi.