2015 Picha zilizotamba

2015 Picha zilizotamba

Aisee moto wa kisiasa uliowaka 2015 utachukua centuries kurudi tena
 
lowasa alibamba kinafiki wafuasi wake wengi walikuwa wahini ambao hata kura hawapigi wakamtosa mzee wa watu mpaka kura hazikutosha pole zake
 
Kama ilishimdikana huo mwaka kufanya lolote, huko tuendako sidhani kama itawezekana, maana tulikuwa na kila sababu na uwezo ulikiwepo pia
 
Wapi picha ya wale jamaa wa ARUSHA wakipiga DEKI Barabarani?
 
Wapi picha ya wale jamaa wa ARUSHA wakipiga DEKI Barabarani?
Hahahah
downloadfile-1.jpeg
downloadfile.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusubiri tena miaka 50 mingine ndo CCM watapata pressure kama walioipata ile ya 2015
 
Back
Top Bottom