mpiganiaukweli
Senior Member
- Jul 16, 2014
- 107
- 27
Chadema mpaka sasa kimepoteza mwelekeo. Papara na majungu yalipelekea kumfukuza zito na wakibahatika kuwa na wabunge ambao wanaweza kuchaguliwa bila kujali chama gani kimewasimamisha hawa ni zito kabwe, arfi na shibuda na pia slaa akigombea jimbo anapata.
Kwa ufupi chadema mwaka 2015 kitakuwa na wabunge 2 ambao ni
1.ndesamburo
2.slaa kama atagombea jimbo
Zito, shibuda na Arfi watashinda chama chochote kwasababu si wanachadema TENA
Wengine wote hawarudi wamekuwa hawaendi majimboni, usanii mwingi wananchi wamewachoka
Kwa ufupi chadema mwaka 2015 kitakuwa na wabunge 2 ambao ni
1.ndesamburo
2.slaa kama atagombea jimbo
Zito, shibuda na Arfi watashinda chama chochote kwasababu si wanachadema TENA
Wengine wote hawarudi wamekuwa hawaendi majimboni, usanii mwingi wananchi wamewachoka