2015 CHADEMA kikipata wabunge 10 najiunga nacho

2015 CHADEMA kikipata wabunge 10 najiunga nacho

Tablet na ID yako ya chama vipo mashakani kunyang'anywa kama alivyosema boss wako hapa:
Haya baada ya hizi porojo zako turudi kwenye hoja, 2015 chadema haitafikisha wabunge 10
 
Mbeya nzima majimbo 11 hadi Sasa Chadema uhakika majimbo 6 migamba Mbeya ikipata majimbo matatu najiua
 
ifweero bunge lenu la WAHUNI limevunjika na hapo najua una kihoro sana na haya maneno ni kujifariji tu

Tufikishie pongezi kwa JK kuwaondoa wahuni akina Wakasuvi;Makonda akina Bulembo Dodoma!

Kwa akili yako ni kweli tungepata katiba nzuri kwa wajumbe kama akina Makonda?
 
Last edited by a moderator:
Watapata wengi zaidi ya hayo watu washaichoka CCM
 
Aiseeee kwani sa hivi wapo wangapi? Na wamekosea wapi mpaka wakose majimbo kiasi hicho? Haiwezi kuwezekana japo mi ni non algnied!
 
Lema and Sugu out!

Mkuu, kuna ujumbe wako kutoka makao kuhusu tablet na ID kama anavyosema boss wenu hapa;
Dawa yenu watu wa aina ya ifweero na MSALANI,ni kuwafungia ID zilizofunguliwa na chama tu. Hamtetei chama badala yake mnaweka mbele matusi,kejeli,fitina na maneno ya maudhi. Operesheni iko njiani. Mtaingia na vi-ID vyenu muda si mrefu. Jifunzeni kujadili hoja na si mleta hoja.Ndivyo mnavyoambiwa chamani. Hamsikii.Dawa yenu iko jikoni

Mzee Tupatupa

Ukipata ujumbe huu, waambie na LB7 wengine.
 
Last edited by a moderator:
Yea, niko serious, namaanisha, sicheki na mtu. Chadema ikipata wabunge 10 tu 2015 nakuwa mwanachama wao mtiifu. Tena kada kindaki ndaki...

Chasema haihitaji wanachama wanaoshirikisha m******lio kwenye kufikiri na kutenda huku kichwa akitumia kufugia nywele.
 
Heri mbwa anaishi nyumbani na sisi binadam kuliko wewe msukule,mchumia tumbo. Kibaraka wa mwanaume mwenzako. Sidhani km bado una urijali kwa jinsi walivyokupumulia kisogoni

na wewe ni kibaraka wa nani? na unapumuliwa wapi?
 
Mikakati ya wizi wa kura kwa kushirikiana na vyombo vya dola na Tume ya MACCM ya uchaguzi imeanza rasmi ili kuhakikisha CHADEMA haipati Wabunge zaidi ya 10. Ndio hapo mtakapoumbuka kwa ulinzi mkali utakaofanywa na wanachama wa CHADEMA na kushindwa kutimiza wizi wenu.
mkuu kumbe na wewe umesha liona hilo? hawa jamaa siku zote wanajivunia wizi wa kura kupindisha taratibu na kila aina ya uharamia.Chama kitakachokua cha kwanza kuiingiza nchi hii machafukoni na hawa majambazi maarufu kama CCM.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Yea, niko serious, namaanisha, sicheki na mtu. Chadema ikipata wabunge 10 tu 2015 nakuwa mwanachama wao mtiifu. Tena kada kindaki ndaki...
kwa mujibu wa VUTA NKUVUTE
HII ID ni mali ya chama , 2015 ATAPEWA MTU MWINGINE , JE TUTAKUPATIA WAPI ILI UTHIBITISHE KAULI YAKO ?
 
Hatuna sababu ya kuwa na matomaso huku hata tukipata 25 hatukutaki
 
BG45YV966 imethibitisha umepokea Tsh 7000 kutoka Lumumba.umekatwa Tsh 4000 kwa kupost utumbo.salio lako la mpesa ni 3000
 
Back
Top Bottom