cute datty
JF-Expert Member
- Jul 11, 2014
- 582
- 277
Yaani hizo ni dalili za uwoga uliopitiliza,tunaiita election fever subiri hiyo 2015 uone utakavobadilisha ID kwa aibu.Yea, niko serious, namaanisha, sicheki na mtu. Chadema ikipata wabunge 10 tu 2015 nakuwa mwanachama wao mtiifu. Tena kada kindaki ndaki...