2015 CHADEMA kikipata wabunge 10 najiunga nacho

2015 CHADEMA kikipata wabunge 10 najiunga nacho

Attachments

  • 1410296419127.jpg
    1410296419127.jpg
    27.8 KB · Views: 201
ifweero chadema tulishakufukuza!
Hebu tutolee harufu yako chafu kutoka MSALANI!
 
Last edited by a moderator:
Yea, niko serious, namaanisha, sicheki na mtu. Chadema ikipata wabunge 10 tu 2015 nakuwa mwanachama wao mtiifu. Tena kada kindaki ndaki...

Iwe hivyo au la baki huko huko uliko, hatutaki shombo.
 
Haa haa, ongeza kidogo idadi. Mwaka 2015 wapinzani watapata wabunge wengi zaidi bungeni..
 
We wataka 10 tu,sasa ndio nin?wakiwa 3 au 40
we hutaki,wataka 10!
Nonsense!
 
Mlisema Bunge likisimamishwa mtajinyonga mbona mna change standards kila siku.. Kimsingi ulichoongea is a serious joke! Toka 2010 uchaguzi ulivyopita CHADEMA haijawa na rekodi ya kupoteza hata Ubalozi wa Nyumba kumi, achilia Mbali Kijiji,mtaa,kata au jimbo. Tumekwangua Vitongoji, Mitaa, Vijiji, Kata na Jimbo la CCM. Niwekee kata Moja iliyokuwa ya Chadema CCM imeichukua toka 2010 uchaguzi mkuu ulipopita-NONE! Hii Record iliyotukuka itaendelea kwa kasi ya ajabu 2015. Cc ifweero
 
Last edited by a moderator:
Yea, niko serious, namaanisha, sicheki na mtu. Chadema ikipata wabunge 10 tu 2015 nakuwa mwanachama wao mtiifu. Tena kada kindaki ndaki...

Kada kindaki ndaki huku chadema haipo labda huko ccm; Hatuna nafasi yako huku
 
Yea, niko serious, namaanisha, sicheki na mtu. Chadema ikipata wabunge 10 tu 2015 nakuwa mwanachama wao mtiifu. Tena kada kindaki ndaki...

wewe ni kama njia ya haja kubwa kukiwa na gesi tumboni hutoa mshindo mkali sana lakini madhara yake ni harufu mbaya tu.
 
Umeuza jimbo la Kibaha; Nani atakupokea CHADEMA?

Kumbe ndiyo huyu jamaa? Mwaka 2010 Chadema ilikuwa bado changa na ndio maana ilikosa hata wa kusimamisha katika baadhi ya majimbo. Kutokana na hilo hata majimbo mengine kama Kibaha ilijikuta inasimamisha aliyejitokeza bila kuchanguza kama ni mzima au "chizi" hii ime icost sana Chadema.
Ila sasa iko imara ndio maana hata uchaguzi wa ndani wa chama sasa uko makini.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Back
Top Bottom