2015 CHADEMA kikipata wabunge 10 najiunga nacho

2015 CHADEMA kikipata wabunge 10 najiunga nacho

@vuta-nikuvute huyu asipate mkate wa leo kama vipi mpore id ya chama
 
sho.nz hela ya Yuda ndo inakutembelea na savi.mbi hadi ufahamu wako unalewa
 
Yea, niko serious, namaanisha, sicheki na mtu. Chadema ikipata wabunge 10 tu 2015 nakuwa mwanachama wao mtiifu. Tena kada kindaki ndaki...

ujiunge Ili iweje labda?
 
Yea, niko serious, namaanisha, sicheki na mtu. Chadema ikipata wabunge 10 tu 2015 nakuwa mwanachama wao mtiifu. Tena kada kindaki ndaki...

Umeuza jimbo la Kibaha; Nani atakupokea CHADEMA?
 
Tutakukumbusha bandiko lako at the right time ila usijesema ulinukuliwa vibaya au mtu katumia id yako. be man of words ila hao kumi fanya mara kumi bado hutoepuka kuikana kauli yako. Kumbuka makaburi yasha andaliwa kwa sasa tuna andaa mashehk na wachungaji kwa ajili ya misa ya mazishi

mmechanganyikiwa hamjui mtendalo

aden_rage.jpg View attachment 184166 ukawa.jpg
 
Yea, niko serious, namaanisha, sicheki na mtu. Chadema ikipata wabunge 10 tu 2015 nakuwa mwanachama wao mtiifu. Tena kada kindaki ndaki...

Cdm hatupokei vichaa kama wewe nenda act
 
Chadema hatuchukui oil chafu....hata tukipata wabunge 5. Bado hatukutaki...kwanini usiende magamba ACT?
 
Yea, niko serious, namaanisha, sicheki na mtu. Chadema ikipata wabunge 10 tu 2015 nakuwa mwanachama wao mtiifu. Tena kada kindaki ndaki...

Ongelea maamuzi ya mwenyekiti wako na ukawa siyo unazuga
 
Mikakati ya wizi wa kura kwa kushirikiana na vyombo vya dola na Tume ya MACCM ya uchaguzi imeanza rasmi ili kuhakikisha CHADEMA haipati Wabunge zaidi ya 10. Ndio hapo mtakapoumbuka kwa ulinzi mkali utakaofanywa na wanachama wa CHADEMA na kushindwa kutimiza wizi wenu.

Yea, niko serious, namaanisha, sicheki na mtu. Chadema ikipata wabunge 10 tu 2015 nakuwa mwanachama wao mtiifu. Tena kada kindaki ndaki...
 
Yea, niko serious, namaanisha, sicheki na mtu. Chadema ikipata wabunge 10 tu 2015 nakuwa mwanachama wao mtiifu. Tena kada kindaki ndaki...

Akili ndogo siku zote haiwezi kutawala akili kubwa!!
 
Yea, niko serious, namaanisha, sicheki na mtu. Chadema ikipata wabunge 10 tu 2015 nakuwa mwanachama wao mtiifu. Tena kada kindaki ndaki...
Ubaki huko huko. Hatutaki ma opportunist kama wewe.
 
Yea, niko serious, namaanisha, sicheki na mtu. Chadema ikipata wabunge 10 tu 2015 nakuwa mwanachama wao mtiifu. Tena kada kindaki ndaki...
ifweero = konokono = snail, tehe tehe tehe!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom