Nyami2010
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 227
- 50
Ndugu wanaJF
Hakika mwaka 2011, ni mwaka wa mafanikio sana kwa Rais Barack OBAMA. Ni katika mwaka huu:-
1. Osama Bin Laden kauliwa na wamarekani
2. Gaddafi kauliwa kwa msaada wa Wamarekani na washirika wake wa NATO
3. Hosni Mubaraka (Eqypt) kapinduliwa.....
4. Zine El Abidine Ben Ali (Tunisia) kapinduliwa pia.....
5. Bashar al-Assad (Syria) hali yake ni tete.....
6. Ali Abdullah Saleh (Yemen) ana hali ngumu.....
7. Wamekani wamemaliza kazi Iraq........
8. Kim Jong Il (Kiboko yao) hatunaye tena
9. NASA wamegundua sayari zinazofana na dunia...
Please add to the list:A S 465:
Hakika mwaka 2011, ni mwaka wa mafanikio sana kwa Rais Barack OBAMA. Ni katika mwaka huu:-
1. Osama Bin Laden kauliwa na wamarekani
2. Gaddafi kauliwa kwa msaada wa Wamarekani na washirika wake wa NATO
3. Hosni Mubaraka (Eqypt) kapinduliwa.....
4. Zine El Abidine Ben Ali (Tunisia) kapinduliwa pia.....
5. Bashar al-Assad (Syria) hali yake ni tete.....
6. Ali Abdullah Saleh (Yemen) ana hali ngumu.....
7. Wamekani wamemaliza kazi Iraq........
8. Kim Jong Il (Kiboko yao) hatunaye tena
9. NASA wamegundua sayari zinazofana na dunia...
Please add to the list:A S 465: