hii ni the best worldcup, wanaosema ni mbaya ni kwamba timu zao zimetolewa baaasi, mexico super, ghana wako juu ukiondoa matatizo ya umaliziaji, ureno kamwonyesha brazil kuwa ukikaa vibaya na kombe huchukui, argentina safi zaidi ya mexico, uingereza pumba za mwaka ndo maana wakachezea kichapo cha mbwa mwizi toka kwa wajeru,tatizo watu wanapenda kuendeshwa na historia, kwamba uingereza hajafungwa na ujerumani since 1966, mara oohh france ndo sijui nn, those things are outter control these days, matatizo yaliyopo ukiondoa maamuzi mabovu ambalo ni tatizo la fifa the rest ni matatizo ya kawaida ambayo hutokea kila mara kutegemea na mahali world cup ilipofanyika...SA wamejitahidi sana na naamini some of the wazungu walokuwa siku zote wanaona Afrika kwa ujumla wake ni nothing watakuwa mpaka sasa wanashangazwa na everything they see down in mzansi!!lets be realistic guys..