Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
mwaka 2005 uligombea ukiwa umehitimu kidato cha sita. Mwaka 2010 bado elimu yako ni hiyo hiyo ya kidato cha sita. Ubungo watakuuliza umeshindwa kumaliza shule yako mwenyewe utawezaje kuleta maendeleo?Mwenzio Nape alikwenda kusoma India baada tu ya uchaguzi. wewe na chadema tu
Hao walosoma wamefanya nini la maana kumzidi Mnyika?
Nchimbi PhD
Chenge LLB,LLM(Harvard)
Prof.Ndulu
Prof.Yule waubalozi Italia
The list goes on...come on its what is in your heart and head man