Kahama- shy
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 1,951
- 2,694
NB: Mwenye chochote kitu Aniwezeshe nishelekee siku yangu hii vizuri maana nipo Nyumbani kwa watu nimejilaza🙂 0674615883🥳
Asante sana, nawe kesho. Itajalia piaYangu ni kesho nimejiandalia tiketi ya chan TZvsMR kama zawadi⚽
Kwako all the best uendelee kuipenda nchi Yako oktoba ukatiki
Muda si mrefu waja watakuja kukuambia wana mashaka na wewe. Wanasema mwanaume kukumbuka birthday au kusherehekea birthday eti sijui nini vile. Ila kama ni jinsia KE hawana shida na weweView attachment 3447071View attachment 3447072Wana Jf mambo vipi ndugu mko poa nyie mi Niko poa kabisa labda nyie vipi kwenu Ebwana Leo ni siku yangu ya kuzaliwa nimepata ujumbe toka kwenye mitandao yangu aisee wananijali sana wamenikumbuka😭 Sasa Wana JF nimeamua kuja mnitakie pamoja na nyie pamoja na ndugu zangu tuliozaliwa Leo🎉🎊 Happy birthday Bakalalwa umenitimiza miaka kadhaa na wote pia,
NB: Mwenye chochote kitu Aniwezeshe nishelekee siku yangu hii vizuri maana nipo Nyumbani kwa watu nimejilaza🙂 0674615883🥳
Heri Ya Siku Ya kuzaliwa pia kwakeUmezaliwa siku Moja na sister wangu nitampa namba yako anapenda sana company mtafute eneo msheherekee
Heri Ya Siku Ya kuzaliwa pia kwakeUmezaliwa siku Moja na sister wangu nitampa namba yako anapenda sana company mtafute eneo msheherekee
Tofauti na nyie humu hakuna mwingine anaejua huku nje, nimejikumbuka mkuu na kushukuruMuda si mrefu waja watakuja kukuambia wana mashaka na wewe. Wanasema mwanaume kukumbuka birthday au kusherehekea birthday eti sijui nini vile. Ila kama ni jinsia KE hawana shida na wewe
Hongera boss wangu. Mwenyezi Mungu akujalie kila lililo jemaTofauti na nyie humu hakuna mwingine anaejua huku nje, nimejikumbuka mkuu na kushukuru
Asante mkuu nashukuru sanaHongera boss wangu. Mwenyezi Mungu akujalie kila lililo jema
Tuma mchango kabisa au hujaona namba?Umezaliwa siku Moja na sister wangu nitampa namba yako anapenda sana company mtafute eneo msheherekee
Me nilihonga sister ujue hakukwambia mtoa mada 😅Tuma mchango kabisa au hujaona namba?
Hahha subiri akakopwe ukasirike upigane😂Me nilihonga sister ujue hakukwambia mtoa mada 😅
kwani hata Akilipwa me Napewa acha wayafurahie maisha 😅Hahha subiri akakopwe ukasirike upigane😂
Umemaliza kila kitu 🤝🏽kwani hata Akilipwa me Napewa acha wayafurahie maisha 😅