2 Corinthians 6:14

1. Imani ninayoongelea ni ya Kikristo kwani nimequote from the Bible not other sources.
2. Believer kwangu ni mtu yule aliyempokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake. Siku zote anatafuta kuwa na amani na watu wote na UTAKATFU ambao pasipo hatuwezi kumuona Mungu.
Nadhani nimekujibu...naomba mchango wako!
Mkristo ni yupi Ebby? Maana umesema unasemea imani ya kikristo!
 
Drphone nadhani utaisoma hii ya Pearl. Ameelezea utata uliopo hasa! Mimi naamini Biblia kabisa ila shida pale tunavyoitafsiri.
Mmoja anaweza kusema kama wewee.it is there in the Bible. IT IS WRITTEN.
Mwingine akasema kama Pearl: Inategemea Mungu amekupa nani.
Je lipi ni sahihi na unapoongea na mtu ambaye maybe tayari ama anafikiria kuingia kwenye mahusiano na non-believer, utachukua mtazamo upi!??
Hilo ndo swali langu ndugu..
Nawasilisha...

Ndugu ukijua kweli ya neno la Mungu itakuweka huru Daima, Andiko usifunge nira na asiye amini linamaanisha usijaribu kuolewa na mtu ambaye hajaokoka kwa nini shetani atamtumia kama daraja la kukurudisha nyuma, kumbuka shetani anajua maandiko kuliko binadamu yeyote. ukijaribu kuoa umefunga nira na asiyeamini naye shetani anatumia huo mlango kuhamiaa kwenye maisha yako kwa sababu umevunja amri ya Mungu. Na kama umeokoka wakati umeshafunga ndoa alafu mwenzio yeye hajaokoka Biblia inasema hivi 1Cor 7:12[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Lakini kwa wengine nasema, (si Bwana ila ni mimi): Kama ndugu ana mke asiyeamini, naye huyo mke anakubali kuishi pamoja naye, basi asimwache. [/FONT][/FONT]13[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Naye mwanamke aaminiye kama ameolewa na mwanaume asiyeamini na huyo mume anakubali kuishi naye, basi huyo mwanamke asimwache. [/FONT][/FONT]14[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Kwa maana huyo mume asiyeamini anatakaswa kupitia mkewe, naye mke asiyeamini anatakaswa kupitia mumewe. Kama isingalikuwa hivyo watoto wenu wangalikuwa si safi, lakini ilivyo sasa wao ni watakafifu.
[/FONT]
[/FONT]
 
Mkristo ni yupi Ebby? Maana umesema unasemea imani ya kikristo!
Ni yule afuataye maneno ya I John 2:6 "Whoever claims to live in him must walk as Jesus did." Hilo tu. Na kwa msingi huo tutaweza kutenganisha wakristo majina na wakristo wa kweli!
 
inawezekana sana kwasababu wewe unayeamini utakuwa chachu ya huyo hasiyeamini kubadilika.
 
Ndugu ukijua kweli ya neno la Mungu itakuweka huru Daima, Andiko usifunge nira na asiye amini linamaanisha usijaribu kuolewa na mtu ambaye hajaokoka kwa nini shetani atamtumia kama daraja la kukurudisha nyuma, kumbuka shetani anajua maandiko kuliko binadamu yeyote. ukijaribu kuoa umefunga nira na asiyeamini naye shetani anatumia huo mlango kuhamiaa kwenye maisha yako kwa sababu umevunja amri ya Mungu. Na kama umeokoka wakati umeshafunga ndoa alafu mwenzio yeye hajaokoka Biblia inasema hivi 1Cor 7:12[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Lakini kwa wengine nasema, (si Bwana ila ni mimi): Kama ndugu ana mke asiyeamini, naye huyo mke anakubali kuishi pamoja naye, basi asimwache. [/FONT][/FONT]13[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Naye mwanamke aaminiye kama ameolewa na mwanaume asiyeamini na huyo mume anakubali kuishi naye, basi huyo mwanamke asimwache. [/FONT][/FONT]14[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Kwa maana huyo mume asiyeamini anatakaswa kupitia mkewe, naye mke asiyeamini anatakaswa kupitia mumewe. Kama isingalikuwa hivyo watoto wenu wangalikuwa si safi, lakini ilivyo sasa wao ni watakafifu.
[/FONT]
[/FONT]

inawezekana sana kwasababu wewe unayeamini utakuwa chachu ya huyo hasiyeamini kubadilika.
Nadhani hapo umemjimbu DRMbura...Why dont we think along these lines? Mbona tujifikirie wanyonge tu!!! Isnt it possible kwamba kwa sisi kuwa nao tunaweza kuwabadilisha!??
 
Ni yule afuataye maneno ya I John 2:6 "Whoever claims to live in him must walk as Jesus did." Hilo tu. Na kwa msingi huo tutaweza kutenganisha wakristo majina na wakristo wa kweli!
Tuko wote mkuu. Niko upande wako na nitabaki upande wako.
 
Wadau naomba msome hiyo verse then mnipe mchango wenu!

Na kwa kuipa kichwa (motion of discussion) swali ni:

Is it right for a believer to date a non-believer?
Nawasilisha...
Inapatikana hapa:http://www.biblegateway.com/passage/?search=2%20Corinthians%206:14&version=NIV

Quoted:"Do not be yoked together with unbelievers. For what do righteousness and wickedness have in common? Or what fellowship can light have with darkness?"
ukitoka hapo nenda mistari inakokutuma Biblie ikusaidie kuelewa na siyo wewe uisaidie Biblie kueleweka maana sijaona tatizo, achani tabia kuyabaka maandiko
 
Back
Top Bottom