huyo mama ni ghasia na tangu aliposema hakuna kuajiri watu nje ya serikali basi naona ni pumba baada ya pumba,na ukiona policy kama hizo alizosema huyo Simba (salon car) hazibadilishwi ujue watu hawafanyi kazi zao,mnaomtetea Ghasia yuko right ,vipi akitokea kiongozi mwingine akianza kuenforce hiyo ya Saloon car hairuhusiwi kuendeshwa....mtamtetea tuu kwa sababu anatekeleza policy au mna lingine la kusema?