1980s DSM ilikuwa Ardhi ya Wazaramo lakini wakauza Mashamba leo haijulikani Wazaramo kwao wapi!

City is complex, more than place of single ethnic land.

Wazaramo muda huu tunaongea wako bagamoyo na mkuranga. Na yenyewe yakianza kuwa majiji wanayauza wanakimbilia uswekele

Hii inachagizwa sana na mfumo wa maisha Toka enzi za ukoloni, mzarAmo hakuweza kuendana na vipaumbele vyao, akakosa elimu. Akabaki na mawzo yake ya mababu.

Kumekuwa na tendency ya kusema wazaramo wanauza miji sabab wanpenda nyama pori. Wanahamia porini. Kiukweli mzarAmo Yuko chini ya kitako cha mfumo huu, ana hali mbaya. Na kama unavyojua, miji ikija inapandisha maisha kuwa juu, maji ya kununua, mayembele hayalimwi Tena barazani. Kila kitu pesa.

mzarAmo atayaweza wapi?
Wenye nyumba kariakoo,temeke,magomeni,kinondoni,mabibo,ilala ni nk ni akina nani!?..hivi dar Kuna kabila linawazidi wazaram kwa wingi!?
 
Hujui kama ile fukwe ndo itazalisha ajira kwa vizazi vijavyo!!? Sehemu ya uchumi wa nchi katika miaka ijayo itategemea bandari au haujui bwana kachero

I wish ningekuwa kachero but i am not
Sasa hivyo vizazi vina utilize vipi? In otherword how to use fukwe kwa ajili ya vizazi vijavyo? Au tuiche tu ikae ?
 
Nadhani uwekwe utaratibu wa kutoruhu Jamii fulani kuuza Ardhi yao Yote Ili kulinda Historia na Utamaduni

Kwa mfano Kimara huwezi amini lilikuwa kijiji cha Wazaramo lakini leo ni kama Wilaya ya mkoa wa Kilimanjaro

Palestine walijisahau sasa wamekumbuka shuka kumeshakucha!

Ni hilo tu 😀
Huu ni ukweli ambao si busara kuusema. Je wangekataa kuuza kama huko kwenu Kilimanjaro, ww ungepata wapi pa kujenga?
 
Nadhani uwekwe utaratibu wa kutoruhu Jamii fulani kuuza Ardhi yao Yote Ili kulinda Historia na Utamaduni

Kwa mfano Kimara huwezi amini lilikuwa kijiji cha Wazaramo lakini leo ni kama Wilaya ya mkoa wa Kilimanjaro

Palestine walijisahau sasa wamekumbuka shuka kumeshakucha!

Ni hilo tu
Hata nami ni mzaramo niko Mwabepande nauza ardhi, mwenye uhitaji anicheki fasta, sikuja na ardhi hapa duniani na niko njiani nasafiri kuelekea nchi ya asali na maziwa

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani uwekwe utaratibu wa kutoruhu Jamii fulani kuuza Ardhi yao Yote Ili kulinda Historia na Utamaduni

Kwa mfano Kimara huwezi amini lilikuwa kijiji cha Wazaramo lakini leo ni kama Wilaya ya mkoa wa Kilimanjaro

Palestine walijisahau sasa wamekumbuka shuka kumeshakucha!

Ni hilo tu
100% Naunga mkono hoja, hili lisijirudie DODOMA wagogo wanapotea kwa kasi ya 5G. Itungwe sheria ya kulinda na kuhifadhi maeneo ya wenyeji wa asili.
 
City is complex, more than place of single ethnic land.

Wazaramo muda huu tunaongea wako bagamoyo na mkuranga. Na yenyewe yakianza kuwa majiji wanayauza wanakimbilia uswekele

Hii inachagizwa sana na mfumo wa maisha Toka enzi za ukoloni, mzarAmo hakuweza kuendana na vipaumbele vyao, akakosa elimu. Akabaki na mawzo yake ya mababu.

Kumekuwa na tendency ya kusema wazaramo wanauza miji sabab wanpenda nyama pori. Wanahamia porini. Kiukweli mzarAmo Yuko chini ya kitako cha mfumo huu, ana hali mbaya. Na kama unavyojua, miji ikija inapandisha maisha kuwa juu, maji ya kununua, mayembele hayalimwi Tena barazani. Kila kitu pesa.

mzarAmo atayaweza wapi?
It's a sad reality of development...na hii hutokea almost katika miji yote duniani, natives kuwa replaced na wahamiaji wenye uchumi mkubwa kuwazidi...

It's a never ending cycle kwa kuwa mwanadamu ameumbwa kuhama ili kutafuta fursa and normally wenyeji huwa hawazioni fursa zilizowazunguka kwa hiyo ni rahisi kutolewa na wageni.

Inherently mtu akiwa ugenini ni rahisi kufanya kazi yoyote including zile ambazo wenyeji for some inherent psychological reasons hawawezi kuzifanya(huonekana kama kazi za wakuja, kazi dhalili). Eventually kwa kazi hizo hizo wageni wanapiga hatua wakiacha wenyeji pale pale walipowakuta...

Hata ndugu zetu walioko ulaya na America wengi wanafanya kazi za shuruba ambazo si kwamba hazipo bongo, zipo lakini waliziona siyo kazi...sasa ukishakuwa ugenini utakula wapi bila kazi, that sense of hapa sina wa kumtegemea, lazima nipambane ndiyo catalyst ya kuwatoa kimaisha!

It is what it is...yote maisha na ardhi yote ya Mungu, acha waja wake wahangaike kutafuta maisha yao as long as wanatii sheria na taratibu za pahala husika!
 
It's a sad reality of development...na hii hutokea almost katika miji yote duniani, natives kuwa replaced na wahamiaji wenye uchumi mkubwa kuwazidi...

It's a never ending cycle kwa kuwa mwanadamu ameumbwa kuhama ili kutafuta fursa and normally wenyeji huwa hawazioni fursa zilizowazunguka kwa hiyo ni rahisi kutolewa na wageni.

Inherently mtu akiwa ugenini ni rahisi kufanya kazi yoyote including zile ambazo wenyeji for some inherent psychological reasons hawawezi kuzifanya(huonekana kama kazi za wakuja, kazi dhalili). Eventually kwa kazi hizo hizo wageni wanapiga hatua wakiacha wenyeji pale pale walipowakuta...

Hata ndugu zetu walioko ulaya na America wengi wanafanya kazi za shuruba ambazo si kwamba hazipo bongo, zipo lakini waliziona siyo kazi...sasa ukishakuwa ugenini utakula wapi bila kazi, that sense of hapa sina wa kumtegemea, lazima nipambane ndiyo catalyst ya kuwatoa kimaisha!

It is what it is...yote maisha na ardhi yote ya Mungu, acha waja wake wahangaike kutafuta maisha yao as long as wanatii sheria na taratibu za pahala husika!
Mbona Mwanza, Arusha na Kilimanjaro matajiri wengi ni wenyeji?
 
tupo zetu Kisarawae, Masaki, Msanga ngongele, kimanzichana nk.

Yaani wema wetu na ndugu zetu wakwere kuwapa maeneo bure na mengine kuwauzia kwa bei rahisi na nyie mkae mjini leo hii mnatuona wajinga?..

Sisi hatuna hiana na wala hatutafuti vikubwa na kuminyana mara kutoa kafara, kuua watu, kudhulumu watu, kutoa rushwa, wizi, utapeli, wizi wa mali za umma nk.
Mbona JK ni dalali wa mali za nchi?
 
Back
Top Bottom