1980s DSM ilikuwa Ardhi ya Wazaramo lakini wakauza Mashamba leo haijulikani Wazaramo kwao wapi!

Wazaramo wameuza mashamba wakanunua bodaboda wakawapatia watoto watoto wao ziwavunje miguu na ziwaue.

Kwahiyo kizazi cha wazaramo kimepukutika kwa bdaboda, na waliobakia wako MOI na wachache wanaozea majumbani.
City is complex, more than place of single ethnic land.

Wazaramo muda huu tunaongea wako bagamoyo na mkuranga. Na yenyewe yakianza kuwa majiji wanayauza wanakimbilia uswekele

Hii inachagizwa sana na mfumo wa maisha Toka enzi za ukoloni, mzarAmo hakuweza kuendana na vipaumbele vyao, akakosa elimu. Akabaki na mawzo yake ya mababu.

Kumekuwa na tendency ya kusema wazaramo wanauza miji sabab wanpenda nyama pori. Wanahamia porini. Kiukweli mzarAmo Yuko chini ya kitako cha mfumo huu, ana hali mbaya. Na kama unavyojua, miji ikija inapandisha maisha kuwa juu, maji ya kununua, mayembele hayalimwi Tena barazani. Kila kitu pesa.

mzarAmo atayaweza wapi?
 
Cha msingi,ni kuwapa uwezo wananchi, waweze kumiliki ardhi, watu wanauza ardhi, kwa sababu hawana assets zingine za kuuza ili kupata fedha za kuendesha maisha, na kingine nchi hii, sio lazima Mzaramo aishi dar,bagamoyo, unaweza kwenda kuishi Kigoma, Mtwara,Arusha, Zenj, Tabora, nchi hii unaweza kwenda sehemu yoyote ukanunua ardhi, ukaoa, ukaolewa ukaanza maisha,
Cha msingi, wananchi waelimishwe kumiriki ardhi,
Dodoma, wagogo wote, wanasukumwa nje ya mji, wahamiaji ndio wanachukua ardhi,
 
Nadhani uwekwe utaratibu wa kutoruhu Jamii fulani kuuza Ardhi yao Yote Ili kulinda Historia na Utamaduni

Kwa mfano Kimara huwezi amini lilikuwa kijiji cha Wazaramo lakini leo ni kama Wilaya ya mkoa wa Kilimanjaro

Palestine walijisahau sasa wamekumbuka shuka kumeshakucha!

Ni hilo tu
Nyie wachaga msipojitaja kwa kuwatukana wenzio huwa hamuwezi kutuliza hayo makalio yenu? Nyie mna udumavu wa akili, na nyie nani aliwafanya mazuzu msiwe na ardhi kule kwenu? Na nini kimewafanya mkimbilie ardhi ya wazaramo msitulie kwenu km siyo nyie ndiyo mapumbavu. Wachaga watakuwa wapumbavu mpk mwisho wa dunia. Mtaendelea kuishi km wakimbizi ndani ya nchi yenu.
 
Nadhani uwekwe utaratibu wa kutoruhu Jamii fulani kuuza Ardhi yao Yote Ili kulinda Historia na Utamaduni

Kwa mfano Kimara huwezi amini lilikuwa kijiji cha Wazaramo lakini leo ni kama Wilaya ya mkoa wa Kilimanjaro

Palestine walijisahau sasa wamekumbuka shuka kumeshakucha!

Ni hilo tu 😀
We siku zote unajulikana ulivyo mpumbavu hata Kimara yenyewe hauijui vizuri, umeingia huo mji majuzi tu.
 
nyie wachaga msipojitaja kwa kuwatukana wenzio huwa hamuwezi kutuliza hayo makalio yenu? Nyie mna udumavu wa akili, na nyie nani aliwafanya mazuzu msiwe na ardhi kule kwenu? Na nini kimewafanya mkimbilie ardhi ya wazaramo msitulie kwenu km siyo nyie ndiyo mapumbavu. Wachaga watakuwa wapumbavu mpk mwisho wa dunia. Mtaendelea kuishi km wakimbizi ndani ya nchi yenu.
Anaishi Tena kama mtumwa?? Kwao ardhi hawajauza kama unavyowaza, ardhi wanamiliki na wakajiongezea himaya ya kuja kuwafukuza wazaramu kwenye ardhi Yao. Moshi anamiliki ardhi na miji ya wageni anamiliki ardhi
 
Nadhani uwekwe utaratibu wa kutoruhu Jamii fulani kuuza Ardhi yao Yote Ili kulinda Historia na Utamaduni

Kwa mfano Kimara huwezi amini lilikuwa kijiji cha Wazaramo lakini leo ni kama Wilaya ya mkoa wa Kilimanjaro

Palestine walijisahau sasa wamekumbuka shuka kumeshakucha!

Ni hilo tu 😀
Acha ujinga wako, wale watu ni wavivu wanapenda uswahili swahili
 
nyie wachaga msipojitaja kwa kuwatukana wenzio huwa hamuwezi kutuliza hayo makalio yenu? Nyie mna udumavu wa akili, na nyie nani aliwafanya mazuzu msiwe na ardhi kule kwenu? Na nini kimewafanya mkimbilie ardhi ya wazaramo msitulie kwenu km siyo nyie ndiyo mapumbavu. Wachaga watakuwa wapumbavu mpk mwisho wa dunia. Mtaendelea kuishi km wakimbizi ndani ya nchi yenu.
Acha kutukana, huyo amekwambia ni mchaga?
 
Tupo zetu Kisarawae, Masaki, Msanga ngongele, kimanzichana nk.

Yaani wema wetu na ndugu zetu wakwere kuwapa maeneo bure na mengine kuwauzia kwa bei rahisi na nyie mkae mjini leo hii mnatuona wajinga?..

Sisi hatuna hiana na wala hatutafuti vikubwa na kuminyana mara kutoa kafara, kuua watu, kudhulumu watu, kutoa rushwa, wizi, utapeli, wizi wa mali za umma nk.
 
Back
Top Bottom