Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 4,159
- 11,474
Pamoja na kwamba taifa letu limewahi kuwa na viongozi katika ngazi ya Urais ambao wameishatangulia mbele ya haki! Kikatiba kumbukizi linalopelekea siku ya mapumziko ni kwa waasisi wa taifa letu (Nyerere & Karume).
Hata hivyo siku ya tarehe 17 March kila mwaka, ni siku ya majonzi kwa watanzania walio wengi! Mimi binafsi bado nikimtafakari natokwa na machozi kwa uzalendo na bidii ya kulitoa taifa hili kutoka katika makucha ya mafisadi, majangili, wabadhilifu, n.k.
Alionyesha kwa vitengo ndani ya muhula mmoja alileta mapinduzi makubwa kiuchumi, kijamii, kiteknologia, kiulinzi, kiafya, kielimu, kijamii, n.k.
Je! Wewe unamkumbukaje JPM?
Hata hivyo siku ya tarehe 17 March kila mwaka, ni siku ya majonzi kwa watanzania walio wengi! Mimi binafsi bado nikimtafakari natokwa na machozi kwa uzalendo na bidii ya kulitoa taifa hili kutoka katika makucha ya mafisadi, majangili, wabadhilifu, n.k.
Alionyesha kwa vitengo ndani ya muhula mmoja alileta mapinduzi makubwa kiuchumi, kijamii, kiteknologia, kiulinzi, kiafya, kielimu, kijamii, n.k.
Je! Wewe unamkumbukaje JPM?