Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Gama
yap, inasemekana hiyo ni kweli na ushahidi tosha ni symbols walizoacha huko walikojenga.
Reason ya kupata hela na kuwa influential pia inaeza kuwa kweli (meaning walifanya kazi na kulipwa, sio shetani aliyewashushia hela) Vilevile labda some of the top roman rulers were masons, kwa sababu huwezi kuruhusu mji wako uwe branded na symbols usizozielewa na kufimbia macho tu, au udhanie ni mapambo.
All in all, i still fail to connect this guys na mashetani. What do u think?
wenye majengo do not need2wory about the brand:look around urself;tazama brnds kwenye nguo yako,saa yako,simu yako, chupi yako,kiatu chako., chupi yako...... R u affiliated 2those brnds?. Freemansons ni jumuiya ya wakata mawe na siyo dini lv alone kuwa dini ya mashetani. Until u convice me other wise dini ya mashetani ninayoijua mimi ni ya wale wanaochinja albino kila siku, wanaochuna ngozi, wanao iba wtt kila siku. inasemekana 2nao ktk maisha yetu ya kila siku lakini hatuwajui.(nitakujulisha dini nyingine ya mashetani nikisha kunywa uji).