10th Freemassons Conference - Whitesands

Gama
yap, inasemekana hiyo ni kweli na ushahidi tosha ni symbols walizoacha huko walikojenga.
Reason ya kupata hela na kuwa influential pia inaeza kuwa kweli (meaning walifanya kazi na kulipwa, sio shetani aliyewashushia hela) Vilevile labda some of the top roman rulers were masons, kwa sababu huwezi kuruhusu mji wako uwe branded na symbols usizozielewa na kufimbia macho tu, au udhanie ni mapambo.
All in all, i still fail to connect this guys na mashetani. What do u think?

wenye majengo do not need2wory about the brand:look around urself;tazama brnds kwenye nguo yako,saa yako,simu yako, chupi yako,kiatu chako., chupi yako...... R u affiliated 2those brnds?. Freemansons ni jumuiya ya wakata mawe na siyo dini lv alone kuwa dini ya mashetani. Until u convice me other wise dini ya mashetani ninayoijua mimi ni ya wale wanaochinja albino kila siku, wanaochuna ngozi, wanao iba wtt kila siku. inasemekana 2nao ktk maisha yetu ya kila siku lakini hatuwajui.(nitakujulisha dini nyingine ya mashetani nikisha kunywa uji).
 
Inasemekana kuna uhusiano wa moja kwa moja baina ya Grand Corruption inayotukia nchini na hawa freemasons. These people are evil in everyway. Hivo vijisenti wanavyojifanya kusaidia sijui zahanati sijui shule is just a smoke screen.
 
wenye majengo do not need2wory about the brand:look around urself;tazama brnds kwenye nguo yako,saa yako,simu yako, chupi yako,kiatu chako., chupi yako...... R u affiliated 2those brnds?. Freemansons ni jumuiya ya wakata mawe na siyo dini lv alone kuwa dini ya mashetani. Until u convice me other wise dini ya mashetani ninayoijua mimi ni ya wale wanaochinja albino kila siku, wanaochuna ngozi, wanao iba wtt kila siku. inasemekana 2nao ktk maisha yetu ya kila siku lakini hatuwajui.(nitakujulisha dini nyingine ya mashetani nikisha kunywa uji).
They are devil worshiper for real. kila mtu anajua hilo hadi watoto. we wa wapi?!
 
ivi waliosema 21 dec 2012 ni mwisho wa dunia si ndio wao pia? nimeiona jana GP
 
They are devil worshiper for real. kila mtu anajua hilo hadi watoto. we wa wapi?!

Hii thread ina upotoshaji wa hali ya juu.
Now first, Freemasonry IS NOT Christian in orgin or doctrine. It is open to men of all religions and masons take pride is having the freedom to conceive of their own ideas of God and support their brother's right to this also.
-Anon

Kabla ya kuanza kujazana uongo tutafute Regius Manuscript.
 
They are devil worshiper for real. kila mtu anajua hilo hadi watoto. we wa wapi?!

evidence plz, may u kp quiet if ugat no singe evidence?. Muda wa mambo ya kufikirika umepita.
 
ivi waliosema 21 dec 2012 ni mwisho wa dunia si ndio wao pia? nimeiona jana GP

from the same media house, tafuta NASA wanasemaje kuhusu sayari x. Usipote readers kwa kunukuu sehemu ndogo ya habari.
 
Huwa najiuliza sana hivi picha ya NYOKA hospital huwa ina kazi gani?Hata nyoka kwenye shilingi mia tano inanipa mashaka sana na naona hawa jamaa ndio wenye hizo hela na tunawaabudu bila kujua kwa kutumia vitu vyenye nembo zao.
Habari ya kuchangia shughuli za kijamii si baya ila hatujui katika michango hiyo ni maisha ya watu wangapi yanapotea kutokana na hawa watu maana haijulikani wanapata wapi pesa,pia haijulikani kikundi chao kina mlengo gani.Kuna wakati nilikuwa napita pale nyuma ya Kempisky na kuliona jengo lao lakini hakuna hata siku moja niliyoweza kuona kuna mtu au lipo wazi,na hata nilipojaribu kuuliza walinzi wa maeneo yale nao hawakuwa na jibu kwa maana hawajawahi kuona mtu.
Jmani ogopeni hawa watu maana mwisho wake hakuna anayejua.
Josephine;
Huwezi ukaabudu kitu bila ridhaa yako, wala huwezi kuabudishwa. Inatakiwa wewe uwe na imani kwanza na ukubaliane na misingi ya kile unachotaka kukiabudu baada ya kuwa umeridhika nacho. Huwezi ukamtegesha mtu kuabudu kitu na pasiopo yeye kujua kama anaabudu. Huko siyo kuabudu! Wakati mwingine tuanapenda kujijengea mazingira ya kutusababisha tuwe na hofu ya ajabu pasipokuwa na sababu za msingi!
 
1.hapa duniani kuna migawanyiko miwili ya kiimani, wanaoamini mungu na wale wamwaminio shetani,
2.upande wa mungu kuna jumuia na makanisa mengi......hao wote humtambua mungu.
3.upande wa shetani pia kuna jumuia na hata kanisa la shetani..satanic church lipo....wao humtambua shetani
ni hiari yako ewe binadamu kuchagua uende upande upi.....nakushauri uende upande wa mungu...hutajuta.
Angalizo, pia kuna wanaondhania wanamwabudu Mungu kumbe ni shetani, Bwana Yesu alishatuhadharisha "Sio wote waitao Bwana Bwana ni wangu, watakuja watu, watatoa mapepo kwa jina langu, lakini sio wangu!"
 
Tatizo ni kwamba freemasons wapo ki-conspiracy zaidi kwahiyo hata kujua undani wao ni tabu sana. Information nyingi kuhusu freemasons ni za kusadikika. Pia inahusishwa na li-institution lingine linaitwa iluminati! Mbaya zaidi inasemekana control of the whole world iko chini yao. Vilevile ukiwa member unalishwa viapo vingi sana ili usithubutu kuvunja miiko yao. Member wengi wa hii kitu ndio ma-forbes wa dunia
Hardwood, hawa illuminati ni kama kikundi kingine kiitwacho rosecrusians, wanajiita rosae crusis alama yao ni msalaba wenye ua la rose ma tone la damu. Jamaa wana uwezo mkubwa kufanya mambo ya ajabu na wana nguvu za kiuchumi, ili kujiunga nao, lazima ule kiapo cha usiri. Mimi nilivutiwa na jinsi walivyo na powers na nikajiunga nao ila nilipofika stage ya kulas kiapo, moyo wangu ukasita, nikaachana nao.
wao wanapatikana
http://www.rosicrucian.org/home.html
 
Gama
-on the brands part, i was being skeptical to whether some of the roman rulers were too masons. Afu pia si lazima uwe mchonga mawe ndio uwe mason, ukiangalia list ya some of the known masons utaliona hilo.
-ukisoma the last sentense of my previous post utaona nasema hamna ushahidi wa kuwa hawa wanaamini mashetani, and thats the point i have been making. I started by posing questions so that people go read abt them. There is nowhere were i've said it's a religion because i know it's not.
-on ur last point, my guess, you're talking abt Satanists but then again ur guardian angel is perceived to be a demon by your enemy.
-we're on the same page on many things though. Good one.
 
Jamani nduguzanguni tujihadhari sana na hawa j'maa kwani kutafuta mali ,uongozi na umaarufu kwa nguvu za shetani ndio sera yao ,tuache tamaa na tumuombe Mungu tutaweza kushinda .Zamani ilikuwa siri kubwa kuwajua hawa mashetani ila leo wanajidhihirisha wazi na kutafuta wafuasi, bora ufe masikini kuliko upate utajiri wa shetani hapa duniani na kesho Mungu akuangamize katika moto wa JAHANAM.
 
jamani cjui tunapingana nn kuhusu hawa watu hawa ni mpinga kristo live bila chenga na siku zote shatani ujigeuza kama malaika wa nuru ndio hii misaada unayoiona wanaitoa lakini inamsukumo wa kiimani kwao ss atulioni hilo na kamwe kwa vile una njaa akija mtu kakupa chakula utotaka kujua kwann kakupa chakula utona huyu ni mtu mwema ila hawa si watu wema na tukubali tusikubali tunamtumikia kwa vitu vingi bila ya ss kujua
 
Nyie mnaodai Freemason ni dini ya kishetani mmejuaje? Tatizo ni kwamba kila kikitokea kitu ambacho ni tofauti na dini tulizozizoea basi watu wanakimbilia kusema kuwa ni dini ya shetani.Hata Church of later saints (Mormons) wenye makanisa yao pale Morocco na kule Mabibo watu husema eti wanaabudu shetani. Nijuavyo mimi dini ya shetani (satanism) ipo na wala hawafichi wanaabudu kama dini nyingine ila tu huku kwetu haipo.
 
nadhani p.diddy angetupa hiyo email ili tuweze kutrace chanzo chake ingekuwa rahisi vinginevyo tutaishia kubuni na kusisitiza hizo story za kutungwa na akina shigongo.
huyo anayedai kwamba mkulu mkuu naye ni active member angetuthibitishia.
 
Nyie mnaodai Freemason ni dini ya kishetani mmejuaje? Tatizo ni kwamba kila kikitokea kitu ambacho ni tofauti na dini tulizozizoea basi watu wanakimbilia kusema kuwa ni dini ya shetani.Hata Church of later saints (Mormons) wenye makanisa yao pale Morocco na kule Mabibo watu husema eti wanaabudu shetani. Nijuavyo mimi dini ya shetani (satanism) ipo na wala hawafichi wanaabudu kama dini nyingine ila tu huku kwetu haipo.

Duh
 
Chande refutes peerage scam
GLADYS FAHARI
Daily News On Saturday; Saturday,December 16, 2006 @00:08
http://www.dailynews-tsn.com/page.php?id=4897

SIR Andy Chande
A PROMINENT Dar es Salaam businessman, Sir Andy Chande, has refuted claims that he is being investigated by British police in connection with the ‘cash for honours' scandal.

Sir Chande told the Daily News on Saturday' yesterday that his Honorary Knighthood came as a pleasant surprise.

Sir Chande's rebuttal comes as British police on Thursday questioned Prime Minister Tony Blair as part of the ongoing criminal investigations into the honours allegations.

The investigations started in March, this year, by the Metropolitan Police, and are aimed at establishing a connection between peerage nominations by the Labour government and
contributions to party funds by the nominated persons.

Sir Chande added: "I never expected the Honorary
Knighthood but it was a welcome surprise considering that very few people have been awarded such title."

It is still unclear whether there should be a citation for such knighthood or if other knights of British nationality carry
citations.

"I am not sure about the citation and if at all there was one. I'm sure I would have received a copy," Sir Chande said.
Asked if he has been contacted by British police or whether he has been questioned in connection with the 'cash for honours'
scandal, Sir Chande said that no one has contacted
him about that matter.

He added: "I have not been contacted by British police on any matter. And I do not think they will because I have done nothing wrong."

Sir Chande also explained that he does not know for sure what criterion is used to nominate and name knights and who does
it.

The 'cash for honours' scandal has uncovered that all businessmen who gave the Labour Party contributions of over 1million pounds were granted an honorary knighthood.

There are claims that Sir Chande is one of the businessmen currently being investigated by British police for being
named a knight under dubious circumstances. All concerned
in the wrongdoing have denied the claims and none has been charged yet.

The British inquiry is taking a dual approach, looking at the 2005 working peerages list and any offences in that period
relating to the 1925 Honours (Prevention of Abuse)
Act and the Political Parties, Elections and Referendum
Act 2000, which covers party funding and the presentation of accounts.

The inquiry is in its last stages and it expects to be concluded by January.

A spokesman for Mr Blair said the prime minister had denied that peerages had been offered for sale.

The prime minister was interviewed as a witness without the presence of a lawyer. His spokesman said that Mr Blair explained to the police why four businessmen had been nominated for peerages, and insisted that giving money to a
political party should not prevent someone from receiving an honour.

Sir Andy Chande is a prominent Tanzanian businessman,
philanthropist and a freemason. Born in Mombasa, Kenya, in 1929, Sir Jayantilal Chande has been active in social and
business life for over half a century.

In August 2003, Her Majesty Queen Elizabeth II conferred on him a Knighthood and in 2004, the President of India, Dr APJ
Abdul Kalam, honoured him with the prestigious Pravasi Bharatiya Samman Award.

Sir Andy became a Freemason on October 25, 1954 and rose through the organisation's ranks to become its East Africa's
chief. He was appointed District Grandmaster for East Africa in 1996, a position he holds today. In its ranks he has reached the degree of the 'Most Excellent Master.'

Andy Chande huyu ni Mhindi na nadhani alikuwa kwenye body ya TRC (now TRL) na inasemekana huyu aliplay part kubwa sana kwenye kuleta wale wahindi wawekezaji feki na kuliingizia hasara kubwa taifa kwa uwekezaji ambao si lolote si chochote. Huyu inasemekana ni rafiki wa Che Mkapa..(walewale).

Sasa nadhani kwa kuanzia mnaeza kusoma hiyo article kwamba kumbe alikuwa accused kutoa 'contribution' kwa chama cha akina Blair ili kupata 'Knighthood'.

Source ya zamani kidogo...lakini inatoa mwanga kidogo kuhusu mishemishe za hii branch ya Bilderberg.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom