Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Wapendwa habarini za uko
nilipata email ya mwaliko kutoka kwa bwana mmoja muhindi ikinitaarifu tar 23-26 september kutakuwa na 10th freemasson conferenc whtitesands na kwa wale wasio massons pia wanaakaribishwa na kutakuwa na mchango wa kuchangia kunduchi health centre kuwasaidia watu wa tegeta na karibu yake jamani waliohudhuria embu tuabalishen nini cha maana kwa hawa mabwana sasa kuwa wazi hivi
mungu atuepushie mbali
nilipata email ya mwaliko kutoka kwa bwana mmoja muhindi ikinitaarifu tar 23-26 september kutakuwa na 10th freemasson conferenc whtitesands na kwa wale wasio massons pia wanaakaribishwa na kutakuwa na mchango wa kuchangia kunduchi health centre kuwasaidia watu wa tegeta na karibu yake jamani waliohudhuria embu tuabalishen nini cha maana kwa hawa mabwana sasa kuwa wazi hivi
mungu atuepushie mbali