100% ya wanawake hawafiki kileleni

100% ya wanawake hawafiki kileleni

We baki hapo hapo na 100%. Kama wako humfikishi waulize wanaume wenzio wakueleze wanafikishaje wapenzi wao.

Utakimbiwa.
 
Habari zenu humuu ndani??


Baada ya salamu,usishangae asilimia hizo,nianze na wewe huyo mwenza wako una mfikisha kileleni?? Au unapanda na kushuka kama upo Tabora unaendesha baiskeli.

Hawa dada zangu wengi wapo wapo tu hata kileleni hawapajui kabisa na wengi wao wakipata hivyo vitu nje ya ndoa basi hata ndoa yenyewe huyumba sana.

Nakurudishia wewe

hapana, wanawake wengi hufika kileleni....Tatizo Mnatumia sana nguvu na mnajifanya wanaharakati, wakati maeneo hayo ukifika unapaswa kumpa mtoto deko, tena deko kwelikweli.
 
Sa hiyo 100% umeipata wapi? Mi huwa nafika hivyo nitoe kwenye hiyo asilimia yako
 
We baki hapo hapo na 100%. Kama wako humfikishi waulize wanaume wenzio wakueleze wanafikishaje wapenzi wao.

Utakimbiwa.

Hili nalo neno. Aulize wajuzi sio kutupa hesabu feki
 
Asiyefika kileleni hana tofauti na ambaye hajawahi kabisa kufanya hilo tendo! Siku akifika atasema yoote ya moyoni mwake. Ambaye bado hajawahi anitafute aonje walao mara 1 kabla hajaondoka duniani!
 
Mimi kufika kileleni ni kawaida yangu...sasa we unasemaje 100% kama we humfikishi wako NI WEWE.
 
Mimi sumbai ananifikisha kileleni hadi maji yanakauka ukeni... utamu wake sasa..

unajua Jf nina cheo Siku Hizi?

WAZIRI WA MICHEPUKO, SERA NA URATIBU WA JF.

Ntakuazima Siku Moja lakini Tambua Kukauka kwa Papuchi Sababu sio kufika kileleni.

Labda mnagegedana bila Mchuzi Mix
 
Last edited by a moderator:
Kumbe nimekutana na mdau humu....leo ni za kimataifa ndo kama hivyo hazitabirikiii

Yaaap tusubiri next week tumunyoshe mhindi na mzungu.....ila kuna championship na national league trophy pia Leo cute b
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom