Hesabu za lubuva....
Habari zenu humuu ndani??
Baada ya salamu,usishangae asilimia hizo,nianze na wewe huyo mwenza wako una mfikisha kileleni?? Au unapanda na kushuka kama upo Tabora unaendesha baiskeli.
Hawa dada zangu wengi wapo wapo tu hata kileleni hawapajui kabisa na wengi wao wakipata hivyo vitu nje ya ndoa basi hata ndoa yenyewe huyumba sana.
Nakurudishia wewe
We baki hapo hapo na 100%. Kama wako humfikishi waulize wanaume wenzio wakueleze wanafikishaje wapenzi wao.
Utakimbiwa.
Kumbe nimekutana na mdau humu....leo ni za kimataifa ndo kama hivyo hazitabirikiii
Mimi sumbai ananifikisha kileleni hadi maji yanakauka ukeni... utamu wake sasa..
Kumbe nimekutana na mdau humu....leo ni za kimataifa ndo kama hivyo hazitabirikiii