Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,437
- 176,388
Haha. Muhanga is a strong word.
Yaani hapa inamaana hata wewe hujawahi kufikisha wifi zangu(yangu) kileleni.
Haha. Muhanga is a strong word.
Habari za Masiku mkuu
Honestly, hata sijui. Ila hakuna aliyewahi kulalamika, not to me anyway.Yaani hapa inamaana hata wewe hujawahi kufikisha wifi zangu(yangu) kileleni.
Honestly, hata sijui. Ila hakuna aliyewahi kulalamika, not to me anyway.
Sasa kama huniambii, mi nitajuaje? Halafu wengi wanajua kutuzuga balaa. Ni ngumu hata kujua yupi anasema ukweli, yupi anadanganya.Na ndivyo ilivyo, hatulalamikagi kwenu sijui kwanini?
Sasa kama huniambii, mi nitajuaje? Halafu wengi wanajua kutuzuga balaa. Ni ngumu hata kujua yupi anasema ukweli, yupi anadanganya.
Exactly. Sema kuna wanamama wengine too uptight, hata sexting ni unforgivable taboo kwao. Yaani hao huwezi hata kutengeneza mazingira ya kujadili mnayofanya faragha.Ndio hapo sasa! Kulia kwingiii kumbe hakuna lolote lililotendeka, ila inategemea na how cloz you are na mazingira unayomjengea ili awe wazi kwako kufunguka, mawasiliano mataz alot na hii ndio shida, wengi hawana mahusiano ila wako kungonoka tu.
Exactly. Sema kuna wanamama wengine too uptight, hata sexting ni unforgivable taboo kwao. Yaani hao huwezi hata kutengeneza mazingira ya kujadili mnayofanya faragha.
Wengine wanajifanya too classy to have that talk.
Jaman umepotea sana hadi nikajua umebadil IDLooooh!!! Kumbe mimi nilishaachwa!!........ Masikini!!
Kile kisauti Chake hakitoki kabisa kichwani teh
Siku moja kingunge aliwakusema kwenye mkutano wa ukawa kuwa ccm imeshindwa kuwafikisha kileleni ndicho mnacho maanisha au?
unajua Jf nina cheo Siku Hizi?
WAZIRI WA MICHEPUKO, SERA NA URATIBU WA JF.
Ntakuazima Siku Moja lakini Tambua Kukauka kwa Papuchi Sababu sio kufika kileleni.
Labda mnagegedana bila Mchuzi Mix