zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Habari zenu humu ndani?
Baada ya salamu, usishangae asilimia hizo, nianze na wewe huyo mwenza wako una mfikisha kileleni?Au unapanda na kushuka kama upo Tabora unaendesha baiskeli.
Hawa dada zangu wengi wapo wapo tu hata kileleni hawapajui kabisa na wengi wao wakipata hivyo vitu nje ya ndoa basi hata ndoa yenyewe huyumba sana.
Nakurudishia wewe
Baada ya salamu, usishangae asilimia hizo, nianze na wewe huyo mwenza wako una mfikisha kileleni?Au unapanda na kushuka kama upo Tabora unaendesha baiskeli.
Hawa dada zangu wengi wapo wapo tu hata kileleni hawapajui kabisa na wengi wao wakipata hivyo vitu nje ya ndoa basi hata ndoa yenyewe huyumba sana.
Nakurudishia wewe