Tafasri nyingi za biblia, haziwezi kuwa applicable leo, zitaleta shida kubwa sana kwa maisha ya mwanadamu hasa wa leo. Kwa mfano kuna sehemu inasema watu wasitumie majani ya chai ktk kuunga chai ila,na hilola kutokula samaki mwenye magamba. Kazi kwelikweli!!