10 Facts about dreams

Is dreaming a reflection of what you have been thinking or seeing all along the day? or upcoming things? magical situations? can someone help on this?

from psychology point of view, yote uliyoyasema yako sahii
some scholas say ndoto ni reflection of what you have been seen and thinking as well, tulalapo ile subconscious mind ndio inaanza kuzitoa zile issues zote. ukiwa macho conscious mind ndio ipo katika control.

lakini wengine wanaongeza kuwa ndoto ni zaidi ya reflection of what people do, see and think when they are conscious. ndoto zaweza kuwa ni connection of physical world and spirit, ndio hapa wengine wanaota mambo yajayo, wanaota siri za ukweli kuhusu jambo fulani au mambo ya kweli kabisa yanayowahusu wao au watu wao wa karibu. na ndio hapa inapohitajika busara kutafsiri na kupata maana husika, wengine huuota mambo yajayo kama yatakavyokuja wengine huota mabo yajayo katika mafumbo ya aina fulani hadi waanze kuyadadavua moja baada ya jingine wataweza kupata maana iliyokusudiwa.
dreams are mysterious as death and life itself.
 
ntajitahidi kuelezea kama ifuatavyo;

for u to remember anything, ur brain has to be active, haidhuru kama ulikuwa macho au usingizini. kukumbuka ndoto yoooote au sehemu kubwa ya ndoto uliyoota kila mara inaashiria kwamba ubongo wako haupumziki as much as it is supposed to.

ila zipo incidences chache ambapo mtu anaweza kukumbuka ndoto yake for instance ukiota a veeeery sweet dream or u had a terrible night mare. it happens mara chache na siyo mbaya ila inapokuwa mtu almost kila ndoto anayoota anakumbuka, tena anakumbuka nukta nyingi za hizo ndoto, si kitu kizuri kwa afya ya ubongo.

asante mkuu nimekupata,
kuna vitabu vichache nimepitia vya psychology na documentaries kuhusu ndoto, wanashauri kuwa ni vizuri kukumbuka ndoto zote uwezavyo na kama unashindwa wanatoa guidelines namna ya kukumbuka uwe unalala na note book au diary ukiamka tu unaanza kujihoji nini uliota na kuandika. sasa kama it is unhealth to our brain kwakuwa tunachosha brain, labda turudi katika swali la msingi why dreaming? kwa mimi naamini zipo sababu za msingi na ndio maana wataalamu wanashauri tuwe na tabia ya kutopuuzia dreams wengine hupata mambo mazuri ya maendeleo kutoka katika ndoto zao. japo nyingine they are nothing but so sense less stuff.
sijui mwenzangu wasemaje.
 
asante mkuu nimekupata,
kuna vitabu vichache nimepitia vya psychology na documentaries kuhusu ndoto, wanashauri kuwa ni vizuri kukumbuka ndoto zote uwezavyo na kama unashindwa wanatoa guidelines namna ya kukumbuka uwe unalala na note book au diary ukiamka tu unaanza kujihoji nini uliota na kuandika. sasa kama it is unhealth to our brain kwakuwa tunachosha brain, labda turudi katika swali la msingi why dreaming? kwa mimi naamini zipo sababu za msingi na ndio maana wataalamu wanashauri tuwe na tabia ya kutopuuzia dreams wengine hupata mambo mazuri ya maendeleo kutoka katika ndoto zao. japo nyingine they are nothing but so sense less stuff.
sijui mwenzangu wasemaje.

thanks for the input, ntaenda chimba zaidi...
 
asante mkuu nimekupata,
kuna vitabu vichache nimepitia vya psychology na documentaries kuhusu ndoto, wanashauri kuwa ni vizuri kukumbuka ndoto zote uwezavyo na kama unashindwa wanatoa guidelines namna ya kukumbuka uwe unalala na note book au diary ukiamka tu unaanza kujihoji nini uliota na kuandika. sasa kama it is unhealth to our brain kwakuwa tunachosha brain, labda turudi katika swali la msingi why dreaming? kwa mimi naamini zipo sababu za msingi na ndio maana wataalamu wanashauri tuwe na tabia ya kutopuuzia dreams wengine hupata mambo mazuri ya maendeleo kutoka katika ndoto zao. japo nyingine they are nothing but so sense less stuff.
sijui mwenzangu wasemaje.

Wataalamu?
wataalamu wapi hawa?
mimi ninavyojua wanaosema ndoto zina maana sio scientists
ni watu wa imani,na hivyo vitabu vyako can u share titles?
 
...they tend to have common themes in dreams like being chased,flying,teeth falling out,a person alive bein dead,......
During my 20's nilikuwa naota kuruka/kupaa angani sana (almost kila wiki ilikuwa lazima nitaota ndoto ambayo mimi nakuwa naruka angani!). Siku hizi imepungua sana ingawa inatokea mara mojamoja.
 
During my 20's nilikuwa naota kuruka/kupaa angani sana (almost kila wiki ilikuwa lazima nitaota ndoto ambayo mimi nakuwa naruka angani!). Siku hizi imepungua sana ingawa inatokea mara mojamoja.

wanasema hizo ndio ndoto nzuri
na usiwaambie waambie watu lol
 
Wataalamu?
wataalamu wapi hawa?
mimi ninavyojua wanaosema ndoto zina maana sio scientists
ni watu wa imani,na hivyo vitabu vyako can u share titles?

mkuu
huwezi kuamini ni scientist wanasema hivi tafauta kitabu ya introduction to psychology i will give you the auther and year, or kuna kingine kinasema introduction to philosophy of mind ed 1 nayo nitakupa full titles humo ndani wanajadili kwa kirefu topic ya dream and kila kihusicho wanataaluma wanatoa hoja zo kadha wakadha hata ukigooogle utapata haya ninayokwambia mkuu. sasa nipo ofisini sina details zote but i promise to give you one.
na tafuta pia sigmund freud and his intepretation of dreams utaona mambo mengi mazuri kuhusu ndoto na ya ajabu. na huyu ni famous scholar.
 
mkuu
huwezi kuamini ni scientist wanasema hivi tafauta kitabu ya introduction to psychology i will give you the auther and year, or kuna kingine kinasema introduction to philosophy of mind ed 1 nayo nitakupa full titles humo ndani wanajadili kwa kirefu topic ya dream and kila kihusicho wanataaluma wanatoa hoja zo kadha wakadha hata ukigooogle utapata haya ninayokwambia mkuu. sasa nipo ofisini sina details zote but i promise to give you one.
na tafuta pia sigmund freud and his intepretation of dreams utaona mambo mengi mazuri kuhusu ndoto na ya ajabu. na huyu ni famous scholar.


kumbe inawezekana hata shekhe yahya alikuwa
ana desa kina sigmund freud?
anyway nasubiri unipe hizo infos thanx?
 
kumbe inawezekana hata shekhe yahya alikuwa
ana desa kina sigmund freud?
anyway nasubiri unipe hizo infos thanx?

hakuna shaka mkuu,
tatizo wengi wetu huwa si wapenzi wa kusoma vitabu na kufwatilia mambo kwa kina na udadisi wale wachache wanaofanya hivyo wakija kutuambia tunawaona ni wanaakili balaa ama wamejaliwa kumbe wanasoma na kutaka kujua si kina dokta ndodi hawa. ila ukiwa madadisi unajifunza mambo mengi sana ila changanya na zako kila upatapio kujua jambo jipya au lolote lile. aante mkuu nitajitahidi kukupa hizo details.
 
unajua mkuu hiki kitu ndoto kina michanganyiko mingi na complex kwa scientist kama kilivyo kile cha death, nao wamekuwa wakitumia muda mwingi kujifunza day to day complexity of dreams in human life. hivyo there are alot of explanation and critics of dreams meaning and interpretation
 
wow! Irony Lady thanx kwa somo, inakuwaje mtu anazungumza usingizini lakini hakumbuki chochote icpokuwa anaambiwa tu na waliomsikia nisaidie kwa hilo mkuu
 
Last edited by a moderator:
Wataalamu?
wataalamu wapi hawa?
mimi ninavyojua wanaosema ndoto zina maana sio scientists
ni watu wa imani,na hivyo vitabu vyako can u share titles?

kimoja wapo ni introduction to psychology,science of mind and behaviour 2nd Ed, by Michael W. Passer and Ronald E.Smith 2006
Vingine nitazidi kukuambiwa kadri nikavyo kumbuka.
 
wow! Irony Lady thanx kwa somo, inakuwaje mtu anazungumza usingizini lakini hakumbuki chochote icpokuwa anaambiwa tu na waliomsikia nisaidie kwa hilo mkuu

mkuu,
ninachoweza kusema mtu huyu anakuwa unconscious hajui nini anafanya kwa wakati huo na hawezi kujicontrol kufanya anayoyafanya kwa sababu akiwa hajalala consious mind inamuongoza nini afanye au asifanye kwa rational thinking yake. sasa anapolala anakuwa katika subconsious mind of which hawezi kujicontrol kufanya au kusema ndio maana wengine wanatoa siri zao bila kujua wakija kuambiwa wanatoa macho na kufedheheka.
freud akieleza theory yake ya dream anadai kusema hivi unaweza ukawa unampenda mtu ukilala subconsious mind yako inareveal hiyo truth na kukuonesha dhahiri kuwa unampenda mtu fulani au unafeelings na mtu fulani, lakini ukiwa macho mind yako inaweza kujidanganya kuwa humpendi kwa sababu matendo yako yanakuwa controled na active mind yako unajidenie uhalisia wa hisia zako.
ukilala all that you hide zitajidhihirisha through dreams au matendo yako wakati huo.
mkuu ninaweza kueleza hayo wengine watanisaidia zaidi.
 
mkuu,
ninachoweza kusema mtu huyu anakuwa unconscious hajui nini anafanya kwa wakati huo na hawezi kujicontrol kufanya anayoyafanya kwa sababu akiwa hajalala consious mind inamuongoza nini afanye au asifanye kwa rational thinking yake. sasa anapolala anakuwa katika subconsious mind of which hawezi kujicontrol kufanya au kusema ndio maana wengine wanatoa siri zao bila kujua wakija kuambiwa wanatoa macho na kufedheheka.
freud akieleza theory yake ya dream anadai kusema hivi unaweza ukawa unampenda mtu ukilala subconsious mind yako inareveal hiyo truth na kukuonesha dhahiri kuwa unampenda mtu fulani au unafeelings na mtu fulani, lakini ukiwa macho mind yako inaweza kujidanganya kuwa humpendi kwa sababu matendo yako yanakuwa controled na active mind yako unajidenie uhalisia wa hisia zako.
ukilala all that you hide zitajidhihirisha through dreams au matendo yako wakati huo.
mkuu ninaweza kueleza hayo wengine watanisaidia zaidi.

ha ha haa mzee wa Psychoanalysis Sigmund namkubali na hasa kwa jinsi alivyojitahidi kuielezea subconscious mind. ila mtu anapohitaji uelewa mpana wa masuala haya ni vema kurejea theories za psychologists wengine pia...big up :poa
 
unajua mkuu hiki kitu ndoto kina michanganyiko mingi na complex kwa scientist kama kilivyo kile cha death, nao wamekuwa wakitumia muda mwingi kujifunza day to day complexity of dreams in human life. hivyo there are alot of explanation and critics of dreams meaning and interpretation

very true mdau
 
Is dreaming a reflection of what you have been thinking or seeing all along the day? or upcoming things? magical situations? can someone help on this?

to a great extent, YES. crave abt a certain kind of food the whole day or think of a particular woman...the chances are, u will dream of them
 
Ndoto huwa haishi that minz tukio halifiki mwisho mhusika lazima azinduke, wanadai ukiota na ukifika mwisho wa ndoto ujue umekufa haupo hai, je hili lina ukweli? binafsi sijawah ota ndoto ikaisha lazima itakatikia sehemu.
 
U havent talked anything concerning the dreams in which God disseminates his message to men.

dah we chakachua a lot these days, so Mungu atatumia wanadamu hawa hawa kusema nasi. mfano atatuma waja wake wa JF kusema nasi via thread zao...

pata picha ni wangapi leo hii atasemeshwa kwenye ndoto alafu akija ripoti tutamuamini? wengi si tutampa jibu la "ni ndoto tu hiyo bana"
 
Back
Top Bottom