Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,254
Huu NI Uongo! Nimezaliwa, kukulia na kusoma hapa hapa TanZania mwanamke kama huyu kwenye picha hapo chini sijawahi kumuona, hii picha wameitowa wapi? Huyu Hawezi kuwakilisha Wanawake wa Watz kwa maana hawako hivyo na wala hawana huo muonekano!
.........Wee wa wapi au ilivokuwa Tanzania ulikuwa unaishi ndani ya shimo halafu hukutembea? Njoo home kwangu umuone House girl wetu anafanana na huyo.
Ukweli ni kuwa Rwanda ina wanawake wazuri.Hebu toa sababu za kuiweka Rwanda