10,000 Tshs after sex

10,000 Tshs after sex

Yaani nyie ni wakopaji wazuri sana.

Dah...sijawahi kopa ila che Nkapa alituasa tujenge mazingira ya kukopesheka, so kama unamkopesha mtu unapaswa kuangalia kama anakopesheka...i.e.. anaweza kulipa? ana collateral?
 
Wote hupewa after sex. Ndio maana tunasema wote ni wauzaji wa hiyo kitu.
 
nimemuambiya kuwa alikuwa dada ya kazi ila nikamusomesha na kumuweka safi sasa hivi kawa mudada mukari ya mujini.
Sasa huyu mwanamume yeye ni muboss wa wa ttcl
ila ndo ivo anamuharibu mudada wa watu
mie naishi nae mdogo wangu kila kitu namupa kuwa na mwanaume ni haki yake na anataka amupe hela matumizi matunzo

Sasa si ukamwambie huyo bwana wake,unaleta nzi tu humu ndani.
 
Mie nakaa na mudada mumoja ananisadiaga shughuli zangu.Huyu mudada alikuja kama housegirl but nikamupeleka shule na kumuweka msafi mpaka sasa ninaishi nae.
Ni mudogo yangu kabisa.
wikiend aliniambia dada naenda kwa mupenzi yake atalala huko.
Akaenda alivyorudi nikamuambia pitia kwa munna anauza sandals 45,000 ukija home nitakupa hela.
Akanijibu dada sina.
Mie kila nikienda ananipa 10,000tshs after sex hata nikimuambia ninataka nini hanipi yeye ananipa afta sex.
Huyu mwanaume hafai kwa nini amupe after sex?
Tena 10,000.
It will be wise kama hamupi aftasex bt anamuingizia akaunt au anamumpesa mda wowote.
mimi nimemuchukia bora Alex hawajawahi sex but anamujali sana.
Na nyie munaopewa ten thousand afta sex musipokee.

Na wewe ulimtuma akalala kwa mwanaume ili akununulie sandals kwa ujira wa kuzini?
 
mbona kama kuna harufu ya biashara ya binadamu hapa
 
nimechekaje? lol Ngoja nilale zangu nisichelewe kazini kesho.
 
Interest yangu ni hapo wewe unapomuagiza sandals za 45,000/= kwa sababu tu ametoka kwa bf wake. Kumbe ulimtuma kuuza na ulitegemea bei ni zaidi ya hiyo ya sandals? Kwa sababu umemupeleka shule na kumuweka musafi ama?
Mie nakaa na mudada mumoja ananisadiaga shughuli zangu.Huyu mudada alikuja kama housegirl but nikamupeleka shule na kumuweka msafi mpaka sasa ninaishi nae.
Ni mudogo yangu kabisa.
wikiend aliniambia dada naenda kwa mupenzi yake atalala huko.
Akaenda alivyorudi nikamuambia pitia kwa munna anauza sandals 45,000 ukija home nitakupa hela.
Akanijibu dada sina.
Mie kila nikienda ananipa 10,000tshs after sex hata nikimuambia ninataka nini hanipi yeye ananipa afta sex.
Huyu mwanaume hafai kwa nini amupe after sex?
Tena 10,000.
It will be wise kama hamupi aftasex bt anamuingizia akaunt au anamumpesa mda wowote.
mimi nimemuchukia bora Alex hawajawahi sex but anamujali sana.
Na nyie munaopewa ten thousand afta sex musipokee.
 
Back
Top Bottom