1 kg ya dhahabu

1 kg ya dhahabu

When it comes to gold, never trust anyone! Hawa unaowaomba wakuelekeze wataku divert uingie kanya boya! Kama watu waliweza kum divert raisi akapita bara bara sio, kule Arusha, ndio watashidwa kuku divert wewe?


Mkuu nimekupata, ninazingatia ushauri wako. ninayapima pia wanayo niambia.
 
inatia shaka! dhahabu! kutafuta soko/ au unaekt mshamba fulani ili uingize watu mimba au/ hiyo ni famfa! mjini pana staili nyingi


Samahani,
SWALI LA MSINGI NI WAPI NITAUZA.
Sikusema ununue, nilimaanisha wanaonunua wangejitaja, kisha nifanye nao mawasiliano wakague wanunue, hapo wizi unatoka wapi?

ninajua sonara na hata pete yangu ya ndoa nimenunua huko lakini jee mzigo mkubwa nitauza wapi? hapo hapo? au kuna wengine ? ndiyo hoja yangu.
 
sio kosa kununua kitu halafu ukauliza nitauza wapi, tambua kwamba mtu yeyote anatafuta mahali kwenye bei nzuri kuliko pengine, ndiyo sababu ya kuuliza.
kama suala ni kuuza tuu unaweza ukauza hata kwa bei ya chini kuliko ulionunulia, lakini ninauliza ili kupata bei juu kidogo na bahati nzuri hapahapa wamejitokeza watu na kutaja bei, hivyo walau hata nikikaa katika meza ya mapatano ninajua mipaka ya bei.

kuuliza sio ujinga, inaongeza maarifa !
kamata mwizi men mwiziiii mwiziiiii kamata huyoooo mwiziiii
 
Back
Top Bottom