Kaisari
JF-Expert Member
- Nov 13, 2012
- 3,636
- 3,046
Naomba msaada waungwana nina kg 1 ya dhahabu naomba kujua wapi nitauza kwa bei nzuri kidogo.
Ninashukuru kwa mawazo niliopata, ila ukweli leseni sina na mimi sio mchimbaji, nimeipata kwa kuokotaokota taratibu kwa muda mrefu toka kwa wachimbaji wadogowadogo, (buter trade).
Bado ninasisitiza ninaomba kujua nitauza wapi,
wanaotukana na kubeza waendelee tuu, wana uhuru wa mawazo, ninachohitaji ni kujua nitauza wapi,
Naomba msaada wa hilo.
Ninashukuru kwa mawazo niliopata, ila ukweli leseni sina na mimi sio mchimbaji, nimeipata kwa kuokotaokota taratibu kwa muda mrefu toka kwa wachimbaji wadogowadogo, (buter trade).
Bado ninasisitiza ninaomba kujua nitauza wapi,
wanaotukana na kubeza waendelee tuu, wana uhuru wa mawazo, ninachohitaji ni kujua nitauza wapi,
Naomba msaada wa hilo.