1 ball,2 balls,3 balls

Speaker

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
6,324
2,233
Mods msiitoe topic huku please.

Kwa kawaida,mwanaume ana 2 balls (korodani,kende),....sijui kama ndio kawaida kweli
au ni wengi wana 2balls,...
wapo wenye ball moja (1),...na wapo wenye 3 balls.

Nataka kujua,toka kwa historia yako au kama umewahi
kumfahamu mmoja kati ya wenye 1 ball,or 3 balls.

Uwezo wao katika mapenzi unakua vipi?
dhaifu (kwa wenye ball 1) au ngangari (kwa wenye ball 3)?

testimony:-
Namjua mmoja,ana ball 1 na kutokana na uoga kwamba hayuko
normal hata alikua hawezi ku-function vyema on bed.
Ila baada ya kupata ushauri mzito toka kwa mtaalam
wa saikolojia,anafurahia mapenzi saivi.

Do you know one,two,.....?
 
Clemmy i have read and re-read nimeishia kupata infor tu..... Sijui umewaza nini....
 
Clemmy huna test karibuni kweli maana nakumbuka kama ulisema bado upo chuo? saa hizi its healthy for you to sleep

that said, hii habari ya balls tukaijadilie kule kwa JF doctor

afu, nashangaa kwa nn nachangia hapa ( kumbe ua langu AshaDii yupo hapa)
 
Mods msiitoe topic huku please.<br />
<br />
Kwa kawaida,mwanadamu ana 2 balls,....sijui kama ndio kawaida kweli<br />
au ni wengi wana 2balls,...<br />
wapo wenye ball moja (1),...na wapo wenye 3 balls.<br />
<br />
Nataka kujua,toka kwa historia yako au kama umewahi <br />
kumfahamu mmoja kati ya wenye 1 ball,or 3 balls.<br />
<br />
Uwezo wao katika mapenzi unakua vipi?<br />
dhaifu (kwa wenye ball 1) au ngangari (kwa wenye ball 3)?<br />
<br />
testimony:-<br />
Namjua mmoja,ana ball 1 na kutokana na uoga kwamba hayuko<br />
normal hata alikua hawezi ku-function vyema on bed.<br />
Ila baada ya kupata ushauri mzito toka kwa mtaalam <br />
wa saikolojia,anafurahia mapenzi saivi.<br />
<br />
Do you know one,two,.....?
<br />
<br /
wewe uwe unakuja na topic zakoza kuonana na wenzako mliomaliza darasa la saba mwaka jana_hayo mambo unayokuja nayo unawashitua wakongwe akina AD
 
Yaaah kuna mzee yupo anafanya kazi halmashauri ya korogwe tanga anazo nne ila ni mzee balaa sana anasifika kwa performance yake ni kila siku ni goli nane na kuendeleaa..........
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /<br />
ivi wewe kwel ni sungu sungu? Haya mwite Uporoto mkeshe kama kawaida yenu_nitajitahd kufuatilia kaz za wanajf kadhaa ingawa wewe nadhan ni health speacialist ivo some days unakuwa on call

Wote tukilala Jf imelala ..
Twalala zam zam..
 
<font color="#0000cd"><font size="4"><span style="font-family: century gothic">Yaaah kuna mzee yupo anafanya kazi halmashauri ya korogwe tanga anazo nne ila ni mzee balaa sana anasifika kwa performance yake ni kila siku ni goli nane na kuendeleaa..........</span></font></font>

Dahhhh ni story tu au umethibitisha??
 
<font color="#0000cd"><font size="4"><span style="font-family: century gothic">Yaaah kuna mzee yupo anafanya kazi halmashauri ya korogwe tanga anazo nne ila ni mzee balaa sana anasifika kwa performance yake ni kila siku ni goli nane na kuendeleaa..........</span></font></font>
<br />
<br />
hahaaaa mtaalam wa fiksi unavyoongea ka kwel vile teh teh eti ana balls nne
 
Ivi wewe kwel ni sungu sungu? Haya mwite Uporoto mkeshe kama kawaida yenu_nitajitahd kufuatilia kaz za wanajf kadhaa ingawa wewe nadhan ni health speacialist ivo some days unakuwa on call
Nimesikia jina langu nimekuja haraka,nikusaidie nini ?

Wote tukilala Jf imelala ..
Twalala zam zam..
Mwambie dear,hujambo lakini ?

Hamna cha three wala four balla naona mna-confuse na hizi pool mnazocheza 24hrs hahaha! wataalamu wa afya watatujuza zaidi.nijuavyo mimi hawa wenye moja huwa ingine imepanda tumboni na isiposhushwa kwa upasuaji ina madhara.Pia kuna wengine pamoja na mbili za kawaida kunakuwa na uvimbe kama gololi kubwa unayoweza kuhisi ni ya tatu,Hiyo ya sijui 4 na kuendelea sijawahi kusikia.
 
Mimi ninazo 5 nguvu yangu kama gridi ya umeme wa Taifa la USA sio TZ. Kutokana na kuwa na extra energy nilioa nikiwa na miaka 20. Kwa sasa nimefanya vasectomy
 
Clemmy huna test karibuni kweli maana nakumbuka kama ulisema bado upo chuo? saa hizi its healthy for you to sleep

that said, hii habari ya balls tukaijadilie kule kwa JF doctor

afu, nashangaa kwa nn nachangia hapa ( kumbe ua langu AshaDii yupo hapa)

hahaha,ndo maana nikawaomba isiende JF doctor maana hawachelewi kuipeleka huko.
The case ni kutaka kujua kama umewahi kuona watu wa namna hii na
vipi kama wanakua na udhaifu wowote kwa bed,...all that.

Hakuna chuo wanasoma saivi bana,labda udom walio goma mwezi wa 4 ndo wanasoma
mda huu,....likizo tam sana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom