mankind
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 233
- 86
ingekuwa ni tigo au voda ungejifanya unatuma pesa, agent angekuambia unayetaka kumtumia.
this what we call great thinking.
ingekuwa ni tigo au voda ungejifanya unatuma pesa, agent angekuambia unayetaka kumtumia.
Kweli wasumbufu wapo. Mmoja kanismbua kwa kini-bip mara nyinyi, kila akibip mimi nampigia, lakini yy hapokei, nikatumia namna nyingine akapokea. Nikamuuliza, ww nani,mbona unanisumbua kwa kubip? Akajibu; ''huna haja ya kunijua, ila mimi mina obbie ya kubip''. Dunia hii!
nitumie namba yake ktk pm niichachue nitakutumia jina lake.
greater thinker, kama hutajali hebu rejea kusoma kichwa cha uzi huu
Hujatuambia anakusumbua kwa namna gani.kama una simu ya Kichina nenda kwenye call setting kisha advanced call setting utakuta sehemu ya Blacklist ingiza hapo hiyo namba inayokusumbua kumbuka kuanza na code number +255 mchezo wake kwishaaaaaa
sasa umekuja sumbua watu bure kumbe unajua ni mchumba mliyegombana??haya ushatoa namba acha wenzio wakalie kiti hicho:A S 103:jaman, huyu m2 ananitumia meseji kama mwanamke! Anapretend tujibzane as mchumba wangu!
KWA UFUPI NIMEGOMBANA NA MY MCHUMBA WANGU, KAnzima cm cku ya pili leo... Then namba hyo ikaanza kunrusha roho! Lakn mwshowe nilgundua nkamtukana! Nikmpgia alikuwa hapokei...
jaman, huyu m2 ananitumia meseji kama mwanamke! Anapretend tujibzane as mchumba wangu!
KWA UFUPI NIMEGOMBANA NA MY MCHUMBA WANGU, KAnzima cm cku ya pili leo... Then namba hyo ikaanza kunrusha roho! Lakn mwshowe nilgundua nkamtukana! Nikmpgia alikuwa hapokei...
Anaitwa ath..... Mga...... Pia nimekutumia pm jina ikiwa na jina kamili la anaekusumbua.kama nimepatia usisahau ka senkyuuu!
Au hutaki sema mtu anakusumbuaje sababu labda ni mpenzi aliyekukataa unataka kumuaibisha humu.
Kama huna cha kueleza zaidi basi usianike namba humu.
senkyuuu, nimekugongea hapo! Dah, nimekubali jf idumu milele...