^00^

mkuu umetisha!!..hasa ile ya Jambazi na Mchungaji!!!
 
MUME: Mke wangu nimepata tatizo ofisini.MKE: Mume wangu unakosea kusema hivyo, sisi ni mwili mmoja, sema tumepata tatizo.MUME: Kweli mke wangu, TUMEZAA NA SECRETARI.

yah nimeikubali ....
 
nzuri sana hizi mkuu excellent maana nimeongeza siku za kuishi kwa kucheka.
 
u always make happy
 
Hakyanani msee wangu,nimenyosha mikono juu,ishara ya kusarenda,unatisha kama Osama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…